Wazike tu hukohukoShakirali Hassanali Almaarufu Mzee Masumin Amefariki nchini India leo Jumatano July 28, 2021. Mzee Masumin ameacha mke na watoto wanne...
Hakuna KusafirishaWazike tu hukohuko
Hii iko silamu zikwa huko hapana chomwa moto...Hawa huwa wanakuja kuchuma Tanzania na kujenga kwao. Sasa amefariki anazikwa kwenye mother land. RIP.
Huyo ni mwislamu hachomwi anazikwaKwahiyo Leo wanamtia kiberiti? maisha yako kasi sana.
Waislamu uzika ulipofia ardhi yote ni ya Mungu.Wapo wageni wanaozikwa huku pia msiba ndio upelekwa kwao.Hawa huwa wanakuja kuchuma Tanzania na kujenga kwao. Sasa amefariki anazikwa kwenye mother land. RIP.