Mmmh! Humu kweri hamna mademu

Mmmh! Humu kweri hamna mademu

Eddy Love

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2011
Posts
13,654
Reaction score
8,564
Toka nijiunge humu galz wahumu siyo wakuoa wala kuolewa wamekaa kimajungu na kingono ngono muda wote wanawaza kugegedwa tu na wote wapo jukwaa hili la mapenzi siwaoni hata majukwaa ya muhimu wao ni story za tigo na kutafta mabwana mara natafta babu mwenye pesa mara natafta dume mwenye kipato hebu fanyeni kazi acheni mawazo ya kidwanzi tena mnajiita masister du wa kuomba ATM muda wote MPESA me kwa mwenendo huu hamponi full vidonge,tulidhani elimu itamkumboa mwanamke kumbe ndo inamuangamiza.namaliza kwa kusema karne hii hakuna mwanamke wa kuolewa nikumalizana hapa hapa kama biashara tushakula hasara nyingi men kama mmemaindi madada poa 😛leaseban:
 
Dah kuna wadada nawaheshimu humu ndani halafu wewe unaleta kashifa kiasi hiki. Halafu kama unakutana na walu walu ujue na wewe ni waluwalu "law of attraction", kwa hiyo kabla hujaanza kuwaponda na wewe jicheki kwa nini unakutana nao.
 
Wewe utakuwa mmoja wa wale form four waliopiga round about, maana analysis yako iko kiform four result 2012!
Chukua hatua nenda kafanye qt na uachane na fb na jf soma vitabu vya shule!
 
Ingekuwa ni kule jukwaa la cc hawakawii kuunganisha account yako kuwa account yangu... wakifikiri wewe ni mimi...
 
Dah kuna wadada nawaheshimu humu ndani halafu wewe unaleta kashifa kiasi hiki. Halafu kama unakutana na walu walu ujue na wewe ni waluwalu "law of attraction", kwa hiyo kabla hujaanza kuwaponda na wewe jicheki kwa nini unakutana nao.
pole kwa kupenda miteremko
 
Wewe utakuwa mmoja wa wale form four waliopiga round about, maana analysis yako iko kiform four result 2012!
Chukua hatua nenda kafanye qt na uachane na fb na jf soma vitabu vya shule!
pole kwa kupenda mitelemko
 
Back
Top Bottom