Mmmh! Humu kweri hamna mademu

Mh, ume2kosea heshima sana we kijana dah..!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
ziro ya form four inakusumbua? karudie paper huko
 
Usijali. Na wanaume wapo wanaotafuta design yako. Wamepata ujumbe na hawatachelewa kukupumulia kisogoni. Nyau we.
 
Loh asara yako na husda ulonayo juu ya watoto wawenzio, wewe ndio kwenye like kundi la kurehemewa..mbele huchezi nyuma hutikisikii..ufisadi ndio unaokuweka mjinii,Kama unaona wanawake wa JF wanafaidi jichanganye nao sio mbaya ..utanzaa kua kaka poa wa kwanza humu FJ....
 
Acha kunipm wewe dogo,mimi sio demu
ninajiheshimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…