Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,485
Mods futa hii kitu haraka
Nimepata copy yako.
nikienda kugegedwa nitampitia niende nae TUKAGEGEDWE WOTE naona ana kiu huyu!!!!!!!
Toka nijiunge humu galz wahumu siyo wakuoa wala kuolewa wamekaa kimajungu na kingono ngono muda wote wanawaza kugegedwa tu na wote wapo jukwaa hili la mapenzi siwaoni hata majukwaa ya muhimu wao ni story za tigo na kutafta mabwana mara natafta babu mwenye pesa mara natafta dume mwenye kipato hebu fanyeni kazi acheni mawazo ya kidwanzi tena mnajiita masister du wa kuomba ATM muda wote MPESA me kwa mwenendo huu hamponi full vidonge,tulidhani elimu itamkumboa mwanamke kumbe ndo inamuangamiza.namaliza kwa kusema karne hii hakuna mwanamke wa kuolewa nikumalizana hapa hapa kama biashara tushakula hasara nyingi men kama mmemaindi madada poa 😛leaseban:
Ningeshangaa sana usingekuwa humu.
Inaonekana huyu aliyeanzisha mada kasimuliwa na wenzake jinsi ambavyo hamjui kukataa, cha ajabu mkamkataa na sasa naona consequences za kumkataa zinawafanya mtoke povu. Ngono zitawauwa, saa zote mnajadili miili yenu
multple ID zote za nini wakati unajulikana
Kwa hiyo tuoe wanaume wenzetu au?Toka nijiunge humu galz wahumu siyo wakuoa wala kuolewa wamekaa kimajungu na kingono ngono muda wote wanawaza kugegedwa tu na wote wapo jukwaa hili la mapenzi siwaoni hata majukwaa ya muhimu wao ni story za tigo na kutafta mabwana mara natafta babu mwenye pesa mara natafta dume mwenye kipato hebu fanyeni kazi acheni mawazo ya kidwanzi tena mnajiita masister du wa kuomba ATM muda wote MPESA me kwa mwenendo huu hamponi full vidonge,tulidhani elimu itamkumboa mwanamke kumbe ndo inamuangamiza.namaliza kwa kusema karne hii hakuna mwanamke wa kuolewa nikumalizana hapa hapa kama biashara tushakula hasara nyingi men kama mmemaindi madada poa 😛leaseban:
hvyo vibibi siyo sehemu yao hapa
Lugha zenyewe za kifacebook.Huyu atakuwa ndo amemaliza form four sasa amekuja kujifariji huku...
Mods futa hii kitu haraka
Umeuwa bwana hata mjadala naona unafia hapohapo sijui kama kuna komesha zaidi ya hiiDah kuna wadada nawaheshimu humu ndani halafu wewe unaleta kashifa kiasi hiki. Halafu kama unakutana na walu walu ujue na wewe ni waluwalu "law of attraction", kwa hiyo kabla hujaanza kuwaponda na wewe jicheki kwa nini unakutana nao.
We mbulula si ukojoe uvae pampasi ukalale huko........dada poa mama yako na dada zako......kunguru weweToka nijiunge humu galz wahumu siyo wakuoa wala kuolewa wamekaa kimajungu na kingono ngono muda wote wanawaza kugegedwa tu na wote wapo jukwaa hili la mapenzi siwaoni hata majukwaa ya muhimu wao ni story za tigo na kutafta mabwana mara natafta babu mwenye pesa mara natafta dume mwenye kipato hebu fanyeni kazi acheni mawazo ya kidwanzi tena mnajiita masister du wa kuomba ATM muda wote MPESA me kwa mwenendo huu hamponi full vidonge,tulidhani elimu itamkumboa mwanamke kumbe ndo inamuangamiza.namaliza kwa kusema karne hii hakuna mwanamke wa kuolewa nikumalizana hapa hapa kama biashara tushakula hasara nyingi men kama mmemaindi madada poa 😛leaseban:
wadau na hasa wenye jinsia ya kike...naomba mutafute mantiki..na theme ya post/thread ya huyu dogo...nahisi kuna ujumbe mzito ndani yake ila mumeamua-kumu-attack yeye mwenyewe na sio hoja yake...
naomba mujirudishe kwenye u-great thinker kama ilivyo jadi yetu na sio great sinkers...NAWASILISHA HOJA....ni maoni tuu.