Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mademu wazuri wa hivi ,ndiyo zilikuwa ndoto zangu ujanani kuishi nao ,Sasa naishi na paka ,Hawa nikimbahatisha basi lazima mfukoni nibaki apeche alolo
Duh kumbe pisi ndio hizo🤔Hisi pisi ilikuwaje hadi akawa kondakta?
Demu sura nzur alafu anafanya kaz haieleweki..!
😂😂😂😂😂Mademu wazuri wa hivi ,ndiyo zilikuwa ndoto zangu ujanani kuishi nao ,Sasa naishi na paka ,Hawa nikimbahatisha basi lazima mfukoni nibaki apeche alolo
Mkubwa mmoja aliwahi niambia "wanadamu Ata ufanye nini watakusema tu na watakukosoa tu "Hisi pisi ilikuwaje hadi akawa kondakta?
Demu sura nzur alafu anafanya kaz haieleweki..!
Mkubwa mmoja aliwahi niambia "wanadamu Ata ufanye nini watakusema tu na watakukosoa tu "Hisi pisi ilikuwaje hadi akawa kondakta?
Demu sura nzur alafu anafanya kaz haieleweki..!
Wachaga vichwa vikubwa vitako vidogo🤣Ila respect akili nyingi za kimaendeleo
Muhimu iwe kazi halali mkuu. Kazi haieleweki unakuwa na maana gani..Hisi pisi ilikuwaje hadi akawa kondakta?
Demu sura nzur alafu anafanya kaz haieleweki..!
Uanadamu ni kazi sana mkuu Sema akili ya mtu huwezi kuizuia kutoa maoni yakeMuhimu iwe kazi halali mkuu. Kazi haieleweki unakuwa na maana gani..
Kama hiyo ni pisi basi inaonekana Tanzania kwa sasa inaupungufu mkubwa sana wa pisi😂Kwanini mnasema hiyo ni pisi kali? Mavazi? Sura?
Mkuu,Kama hiyo ni pisi basi inaonekana Tanzania kwa sasa inaupungufu mkubwa sana wa pisi😂
Waambie kiongozi waje huku bariadi waone pis imeenda hewani nyeupe mguu sasa daahInaonekana Vijana hamjawahi ku-date PisiKali
Kwahiyo huyo ndiyo mnaona ni PisiKali kweli?
Hana shule,ulitaka afanye umalaya?Hisi pisi ilikuwaje hadi akawa kondakta?
Demu sura nzur alafu anafanya kaz haieleweki..!
Kwamba Bariadi kuna pisi kali 😀😀😀 sawa!Waambie kiongozi waje huku bariadi waone pis imeenda hewani nyeupe mguu sasa daah