mmmhhhhh

Jamani tuonyeshe zaid interest kwa 1st lady wetu - badala ya huyo wa Marekani tu. Huyu wa kwetu angalau anatuathiri kwa ukaribu zaidi, iwe kwa mema au yasiyo mema.[/QUOTE]

ni kweli...lete basi post hiyo mkuu wazo lako jema
mix with yours
 
Marehemu Diana aliumbuliwa na picha, sasa hawa mapaparazzi wanawafanya wazubae na baadae watawaumbua kwa picha!
 

huu ni wivu wa kijinga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…