mnh bacha mie nahisi hii ni hadithi ya kufikirika zaidi:embarrassed:
Mh labda ana hisi akiyapata makalio ataning'inia juu kama mpanda ngamia, afu ukute mtu mwenyewe mduchuu.
Mh labda ana hisi akiyapata makalio ataning'inia juu kama mpanda ngamia, afu ukute mtu mwenyewe mduchuu.
hana akili huyo!mwehu!kwa mwanaume unakiona kitu unaweka malengo una fight una kula mzigo
Bacha wangu kama vile ni wewe au???? Mmmmm makalio makubwa?? Kimini?? Napata wasiwasi kabisa hapa kiukweli umenikwaza
usikwazike mama, hivo ni vituko vya watu tu mitaani kwahiyo nikaamua kuvileta hapa jamvini kwaajili wadau waweze kutoa michango yao?
mimi na wewe ni kama samaki na maji, usihofu dear!!!
Haya My Love nimekuelewa sweetie kama ni hivyo lakini nikisoma between lines napata kigugumizi dear!! Nihakikishie tafadhali