Rose nimekuwa nikickia neno SHAROBALO Neno hili lina maana gani. Na mimi natamani sana kwenye ujumbe wangu niweke katuni nifundisheni jamani.
kwa jinsi moyo wangu ulivyotua kwako siwezi tamka neno la kukukwaza hata kidogo
wewe ndio barafu wangu mama!
potezea hizo habari zingine bana DA!!!!!
ni uduwanzi tu wala sio aleji
Bahati nzuri dawa ya hiyo allergy ndiyo hiyo anayoifuata....ni allerg y hiyo nafkiri,,,,,,:A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1:
Lakini DA, Naomba unihakikishie usalama wangu
Najua muda si mrefu BE atatokea hapa na kubwata kwa hasira
Mh labda ana hisi akiyapata makalio ataning'inia juu kama mpanda ngamia, afu ukute mtu mwenyewe mduchuu.
ha ha ha ha ha!