Mmmmmh!!! This is funny lol!

Mmmmmh!!! This is funny lol!

Behaviourist

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2016
Posts
39,926
Reaction score
95,626
c36291673220ac744a30a446b7be3d0e.jpg
 
kwahiyo kwakuwa w.end imekaribia ndio kapata nguvu, ila j3 yuko hoi bin taaban!!
 
ulevi noma, heko kwa walevi wote maana kila mwaka kodi inapanda ila hawakati tamaa, ni walipa kodi waaminifu kweli
ila hata kama wewe siyo mnywaji ni vema ukawa unapata mbili tatu siku moja moja kwani pia huwa zinanogesha yale mambo ya kitandani usiku!
 
ooooh so ndivyo unavyofanya eti!! hapana aisee pombe ni big nooo!! kunyweni tu nyie wenye wito nayo.

ila hata kama wewe siyo mnywaji ni vema ukawa unapata mbili tatu siku moja moja kwani pia huwa zinanogesha yale mambo ya kitandani usiku!
 
ooooh so ndivyo unavyofanya eti!! hapana aisee pombe ni big nooo!! kunyweni tu nyie wenye wito nayo.
ila mdada akinywa huwa anapendeza sana, huwa napenda wanavyorembua macho!
 
Back
Top Bottom