Elections 2010 Mmmmmh...

Elections 2010 Mmmmmh...

vkeisy2006

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2010
Posts
229
Reaction score
99
Katuni April 18.jpg
 
Hahahahaha wadanganyika mtaendelea kupoteza uhuru wenu wa kupata viongozi bora.
 
mwongo huyo ana interest na english, wapi huyooo?
tuwe makini ni majangiri hayoo
 
Ukiona hivyo AHADI hazitekelezeki, na wanajua hata mfanye nini KURA wataiba tuuuu
 
Ndio maana mkwere ana jeuri ya kusema kura za wafanyakazi hazimbabaishi!..Ndio walewale!
 
Back
Top Bottom