Mmmmmhhhhh!!!!

ahhhhhh jamani waacheni washangirie kwa raha na kwa nafasi ..............hamuoni jambo na nyie! lol
 
kwa mafikirio yako juu ya hiyo picha basi hakuna aliye vaa nguo mbele zako,
wate wako uchi
 
Mkuu umefikiria nini kwny hiyo picha?...

PJ,

nd'o maana nimeguna...mmmmhhhh!!!...yaani sina la kufikiria wala usemi....:biggrin1:

Sijui nd'o mapenzi mema hayo au vp tena?
 
usiwe na wasiwasi; wamevaa kaptula na chupi
 
mmmhhhh!!....hii WC tutaona mengi
 
Hii niliiona kwenye TV nikajisemea mwenyewe 'dayuuuuum that's kinda ghey...or maybe it's the Ghanaian way'
 
ukiwa na homophobia
utajikuta hata mtu akikugusa hivi labda
kwenye daladala au foleni ya luku hivi
au kwenye kikapu unataka kupigana..
pengine hakuna lolote ni hisia zako tu....
 
Nahisi kilichotokea hapa ni kwamba walikumbatiana tu halafu ikatokea ajali wakajikuta wanaanguka kama wanavyoonekana! Hakuna lolote la kustaajabisha hapa!
 
Awazavyo mtu ndivyo alivyo! Ilitokea tu,unplanned i guess.
 
ukiwa na homophobia
utajikuta hata mtu akikugusa hivi labda
kwenye daladala au foleni ya luku hivi
au kwenye kikapu unataka kupigana..
pengine hakuna lolote ni hisia zako tu....

Unajua kwa mfano bongo ni kawaida kwa wanaume kushikana mikono huku wanaongea.....unyamwezini ukifanya hivyo utaonwa wewe ni gay
 
I hope hawatawaza hilo kumbato zaidi ya hapo!!..Naamini furaha za ushindi hizo!!Ab-T una macho,sijui umeibamba wapi,lol.
 
Haya bana mi chichemi....:A S 103::A S 103::A S 103:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…