Kweli Bro alitaka akuoe yeye au nini. Kufuatilia ndoa ya mtu HAIKUBALIKI!! Ili mradi wazazi walikubali na ukaolewa basi nawe utulie kwa huyo mume wako. Ukisikiliza mtu mwingine, kesho tu hiyo ndoa itakuwa ndoana- VUNJA UKIMYA "HUWEZI KUWAFURAHISHA WOTE ILA MUMEO TU mpigie zeze adi alale:violin:!!!!!!!Tell your bro to mind his own business. Ndo wanaovunja ndoa za watu hao. Anakuwa kama wifi bana aaaargh.
........Hello wana JF
Mwenzenu simuelewi my bro, kipindi nilivyotaka kuolewa alipinga sana kwa kigezo bado nasoma japokuwa mie sikuona tatizo lolote kwa elimu ninayosoma haipo ngumu sana hadi nishindwe kuolewa kwa sababu ya masomo............kaka alipinga sana na kutaka nije kuolewa baada ya kumaliza masomo yangu, lakini wazazi hawakuwa na pingamizi maana waliona nimeshajikomalia zangu hivyo naweza kumudu mikiki ya ndoa na masomo.
.......Baada ya muda alivyoona nimekomalia kuingia ndoani akaamua kukubali lakini kwa masharti........aliniambia kwamba nisipate ujauzito hadi nimalize masomo, nami nikamuhakikishia kwamba nitajitahidi nisishike mimba hadi nimalize chuo,,, lakini sasa Mungu alivyo wa ajabu baada ya miezi 2 ya ndoa mie nikanasa mimba.........hivi sasa nipo likizo nimerudi home, hivyo ikabidi nikamjulie hali kaka yangu mpendwa nyumbani kwake,lakini cha ajabu baada ya kuona hali niliyokuwa nayo ya ujauzito kaka kakasirika hakuwa na furaha. Nakwambia nimesemwa mie na kaka hadi basi..........mbaya zaidi kaamua kunichunia sababu nimevunja promise.Hajui sasa mie sio mtoto tena nina ndoa yangu hivyo nimekuwa mtu mzima.
..........Kwanza ni kaka yangu pekee ninampenda na yeye alikuwa ananipenda na kuniongoza vizuri haswa kielimu.
Mwenzenu sijui nifanyeje?.........I mean nitumie mbinu gani ili nielewane na kaka yangu maana nampenda sana kaka yangu sipendi kuona anakasirika kwa ajili yangu.
And why on earth should she tell her brother while she is answerable to her husband?
Mi hata siwaelewi. Huyo kaka anamsaidia kuukabili mtarimbo wa mumewe? UKISHAAMUA KUOLEWA PRETTY WANGU, unaachana na Baba na mama yako na vinavyohusiana nao unaelekeza nguvu, juhudi, maarifa, akili, muda na mwili wako (hasa uke wako) kwa MUMEO NA FAMILIA YAKO. Period!
pretty...............kaka ni mwanamme na anawajua wanaume wenziwe kuwa kumfuja mwanamke ni rahisi sana. wewe kushindwa kumaliza shule kwa sababu ya familia ni rahisi mno na inataka juhudi za ziada kwako ili uweze kupata grades kama ulizokuwa ukipata kabla hujawa na majukumu ya ndoa hasa utakapokuwa na mtoto.
Kaka anakuona 'huna deal' kwa sababu umeweka ndoa na watoto mbele ya elimu......atakuelewa iwapo utamthibitishia kuwa elimu yako iko pale pale kwenye orodha ya vitu muhimu kwako na grades zako hazitaathiriwa na ndoa au mtoto.
i hope that is possible
......Aiseee jana nilishindwa kuingia JF, internet ya kibongo bongo hii ina usumbufu sana. Kwa kiasi flani alishiriki kutoa pesa ila jukumu kubwa walikuwa nalo wazazi,jamani huyu kaka pengine ndie aliyekuwa akitoa pesa za pretty kwenda shule miaka yake yote .................sasa anaona kamlostisha!
hebu njoo ueleze huyu kaka kwa nini akawa na mamlaka makubwa hivi na shule yako?
.......Nina full scholarship hivyo yeye hachangii pesa yoyote hapo, sema basi tu ana sheria za ajabu.Ufafanuzi zaidi tafadhari
kwa sasa ni nani anahudumia, analipa tuition fees n.k
Kama ni kaka lazima imuume, alitegemea umalize ujitegemee ndipo uolewe.
Otherwise ataelewa kadri siku zinavyosonga.
And why on earth should she tell her brother while she is answerable to her husband?
Mi hata siwaelewi. Huyo kaka anamsaidia kuukabili mtarimbo wa mumewe? UKISHAAMUA KUOLEWA PRETTY WANGU, unaachana na Baba na mama yako na vinavyohusiana nao unaelekeza nguvu, juhudi, maarifa, akili, muda na mwili wako (hasa uke wako) kwa MUMEO NA FAMILIA YAKO. Period!
DuuhSasa ili asiendelee kumuudhi kaka yake, mi namshauri afanye abortion.:focus: