Mmmmmm!! Kaka hanielewi baada ya kuvunja ahadi

Tell your bro to mind his own business. Ndo wanaovunja ndoa za watu hao. Anakuwa kama wifi bana aaaargh.
Kweli Bro alitaka akuoe yeye au nini. Kufuatilia ndoa ya mtu HAIKUBALIKI!! Ili mradi wazazi walikubali na ukaolewa basi nawe utulie kwa huyo mume wako. Ukisikiliza mtu mwingine, kesho tu hiyo ndoa itakuwa ndoana- VUNJA UKIMYA "HUWEZI KUWAFURAHISHA WOTE ILA MUMEO TU mpigie zeze adi alale:violin:!!!!!!!
 
Nachokiona hapa anawivuuu coz anajua jinsi gani anamdidimiza wake he feel jealous kwa mdogo wake na kwakuwa kaona mimba ndo kastuka aha kumbe wamesha m du??Simpendi kuanzia sasa!!!Ila kawivu kake sikamaendeleo kwani alidhan jamaa aoe aachekupanda mazao??abaki nashamba basi yeye afurahi???Hila br wako anasikilizia sana namtazamekwa machoyote hata yaziaada namkikaa nyumba moja bila wazazi sijui ina maana alivyo kuona alikuscan ukujitambua japo ulikuwa umevaa nguo kwake alikuwa anakuona naked!!:lol:
 
Huyo kaka yako mwanga nini. Wenzake tunaomba dada zetu waolewe baada ya kuzaa zaa ovyo kama simbilisi yeye analeta za kuleta. Anataka mzigo na yeye nini? Mwambie akukome kabisa. We ni mke wa mtu
 

Mwambie aelewe kwamba wewe sasa ni mke wa mtu, unalala kitanda kimoja na mumeo na mnafurahia tendo la ndoa. Na matunda ya tendo la ndoa ndiyo hiyo mimba kwa hiyo afurahie kuitwa anko hivi karibuni. Pia atambue kwamba watoto ni baraka ndani ya ndoa na ya kwamba kuna watu wengi tu wako kwenye ndoa lakini hawana watoto!
 


Teh teh teh! mh
 
waishi kwa ajili ya braza au wewe...!!? na hilo jukumu la kukuongoza ki-imla kakabidhiwa na nani?Muhimu ndoa yako iwe sanjari na elimu yako!! hadi umaeamua kumeza kitensi manake ushajipanga!!! ishi maisha yako!!
 

Swadakta!...
safi sana Gaijin.
kwa kuongezea, sio kumthibitishia tu, pia kulitekeleza hilo maana keshavunja promises mbili...

kaka mtu hana haja na 3rd promise tena ila Utekelezaji.
 
jamani huyu kaka pengine ndie aliyekuwa akitoa pesa za pretty kwenda shule miaka yake yote .................sasa anaona kamlostisha!

hebu njoo ueleze huyu kaka kwa nini akawa na mamlaka makubwa hivi na shule yako?
......Aiseee jana nilishindwa kuingia JF, internet ya kibongo bongo hii ina usumbufu sana. Kwa kiasi flani alishiriki kutoa pesa ila jukumu kubwa walikuwa nalo wazazi,

Ufafanuzi zaidi tafadhari

kwa sasa ni nani anahudumia, analipa tuition fees n.k

Kama ni kaka lazima imuume, alitegemea umalize ujitegemee ndipo uolewe.
Otherwise ataelewa kadri siku zinavyosonga.
.......Nina full scholarship hivyo yeye hachangii pesa yoyote hapo, sema basi tu ana sheria za ajabu.
 
pole pretty,unanifanya nifikirie jambo moja,
sikuweza kuendelea na shule baada ya wazazi wangu kutengana,
jambo jilo liliniathiri sana,nimepanga kurudi kusoma tena,
ila naona muda umenitupa mkono,
if it is my wish,ningependa kuolewa na kulea badala ya kwenda kukuruka na madegree huko,
nadhani sie wanawake,ikifika kipidi fulani kama hujatimiza moja au yote mawili,kati ya kuolewa na masomo,
then huna budi kusacrifice,moja au yote mawili!!!!,
ni mtazamo tu!!!:smile::smile:
 
mume ameshakuwa mume na yeye atabaki kuwa kaka, hili haliwezi badilika. Kaka hana amri juu ya mwili wako isipokuwa mumeo, mridhishe mumeo kwanza wengine watafata baadae mumy.
 

jameni aspirin leo naona u aint mincing words.....duuuuuuuuuuuuu yaani mmmmmnh, umenitisha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…