Mmoja ya washauri wakuu wa Mbowe, Ntobi anaendeleza mapambano kumpigania Mwamba

Mmoja ya washauri wakuu wa Mbowe, Ntobi anaendeleza mapambano kumpigania Mwamba

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Kamati kuu ya Washauri ni Ntobi, Ezekea Wenje na Yericko. Hawa ndo washauri wakuu wa Mbowe. So lazima Mbowe awe alivyo ana watu hao katika washauri. Na Martin MM. Anaongezeka. Kisha kuna Sugu baba lao.

Lissu lazima akae. Washauri wa Mbowe... Watu wenye uelewa,wasomi wapo makini wana uzoefu wa mapambano ya maneno. Yericko nadhani mmeshamsoma humu akiamua kutukana hamtamweza.

Ntobi yeye ana Masters Of Matousy. Akiamua kutukana hauwezi mzuia. Hawa jamaa ukiwauliza sera za Mbowe ni nini hawajui. Ila wanampambania Mwamba.

Ntobi anakaa kwa Boni Yai sijui kama amehama. So lazima afuate Yai linasemaje kisha afuatishe. Na alikuwa anakaa kwenye mabanda akisaidia kuokota mayai.

Mwamba tuvushe. Tuvushe Mwamba tupo vibaya. Mwamba Mitano na Samia mitano tena.
 
Kamati kuu ya Washauri ni Ntobi, Ezekea Wenje na Yericko. Hawa ndo washauri wakuu wa Mbowe. So lazima Mbowe awe alivyo ana watu hao katika washauri. Na Martin MM. Anaongezeka. Kisha kuna Sugu baba lao.

Lissu lazima akae. Washauri wa Mbowe... Watu wenye uelewa,wasomi wapo makini wana uzoefu wa mapambano ya maneno. Yericko nadhani mmeshamsoma humu akiamua kutukana hamtamweza.

Ntobi yeye ana Masters Of Matousy. Akiamua kutukana hauwezi mzuia. Hawa jamaa ukiwauliza sera za Mbowe ni nini hawajui. Ila wanampambania Mwamba.

Ntobi anakaa kwa Boni Yai sijui kama amehama. So lazima afuate Yai linasemaje kisha afuatishe. Na alikuwa anakaa kwenye mabanda akisaidia kuokota mayai.

Mwamba tuvushe. Tuvushe Mwamba tupo vibaya. Mwamba Mitano na Samia mitano tena.
Watu hawajui Lissu atakisaidiaje CHAMA wao wanashabikia kama mpira wa miguu tu.
 
Kina mama wetu washaamua - Mwamba tuvushee wewe na nani ubishe??
Yaani wakamchezeaha rumba na mgombea wako bila kupenda!!
 
Mbona genge la mwamba ni la kawaida mno kiupeo?Wataweza kupambana na Lissu kweli?
 
Back
Top Bottom