Mmong'onyoka wa maadili shule za msingi

Mmong'onyoka wa maadili shule za msingi

Andrew Nyerere

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2008
Posts
3,007
Reaction score
2,451
Kama kweli kuna matatizo katika shule za msingi kwamba kuna matendo maovu yanatokea;inafaa Wizara ya Elimu ifanye utafiti kujua, siyo nanai nafanya haya mambo ya ovyo,isipokuwa kujua asilimia ngapi ya wanafunzi wanafanya haya mambo. Watoto wa shule za Msingi kadhaa wapewe questionaire,waulizwe,'umewahi kulawiti? Kulawitiwa? Mara ngapi? Wataalamu wa Takwimu wanaweza kutayarisha maswali,ili ifahamike kama kuna matatizo au kama vipi?
Sijui kama watakubali,ingawa inasemekana wazazi wanalia machozi wakisikia watoto wao wamefanya madudu shuleni. Most important sijui kama wanafunzi watakubali,kujibu maswali anonimously,kuiwezesha Serikali ijue kiwango cha tatizo.
 
Ndugu ganesh, hili ni miongoni mwa mambo yanayotuumiza sana vichwa wazazi wengi. Utandawazi una nafasi yake hapo, sasa hivi ukiangalia TV zetu hizi kwa dak 30 lazima ukutane na mambo ya ovyo. Aina ya walimu na maadili yao ni tatizo pia. Usiri wa watoto wenyewe, hawawezi kukueleza mzazi mambo wanayokutana nayo huku shuleni, (hata binti wa drs la nne akitongozwa haendi kumweleza mama yake)' ukijagundua mzazi mtoto "kishaharibikiwa".
 
Back
Top Bottom