MMU & Chit Chat ni majukwaa ya watu wasio na akili

Sina cha kuongezea tena hapo,
Naenda Jamii Intelligence, ntapitia the Palace, halafu nitapitiliza Jukwaa la Wakubwa
TGIF
Ukiota ndoto unajisaidia, hakikisha haukunyi...tehteehh [emoji12] [emoji12] [emoji23] [emoji23]
 
Kwahio ulitaka kila mtu akubaliane na hiki ulichoandika? Kila binadamu ana ujinga wake labda wewe ndio binadamu unaejua kila kitu.

Mi sijataka hivo, wala haiwezi kua hivo. Mi nimesema nilichokisema slow slow unapinga vitu ambayo vipo wazi😎, Mi sijui kila kitu hayo maneno unayatoa wapi wewe
 
Hii ni jamii forum hivyo jamii ni mjumuisho wa watu wote hata wasio kuwa na akili vile vile watu wote hawawezi kuwa na mtazamo wa aina moja katika jamii
 
Wanasiasa uchwara, hasa hawa wanasiasa wanachuo huwa wanajihisi ndio watu wanatusaidia sana wengine tusio na mizuka na siasa. Wanajihisi wao ndio nchi inawategemea kuipeleka mbele, Ila ukitazama kwa umakini wao ndio vilaza wa mwisho.
Wacha watu tule raha, kazi na bata.
 
Hahahahah eti nashangaaga sana unakuta kimtu kinajisema eti mim nna akili sijui wenye akili wakitoka watatoka [emoji23][emoji23]
 
Mleta mada niambie ni majukwaa gani "yenye vichwa", yaani majukwaa ambayo mtu akiingia kusoma anaona kuna akili kubwa tupu...
 
Mleta mada niambie ni majukwaa gani "yenye vichwa", yaani majukwaa ambayo mtu akiingia kusoma anaona kuna akili kubwa tupu...
Majukwaa yote yana vichwa ila hayo tajwa yamejaza vichwa maji
 
¿Wapuuz&wapumbavu tuna comment wap mkuu?....au tupuuzie tú mada😛😛
 
Ngoja narudi, huyu mbwa naona ananitafutia ban ya lazima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…