"MMU Misses you Sooo Much"

Wiki ijayo natafuta BAN
 
I miss her the MOST....Ni dada wa KWANZA kunipokea hapa JF kwa mengi... na ushauri hasa via PM... I love that lady...
Aseee!!
kumbeee!!
Duh!!.......na uzee wangu ngoja niendelee kujifunza!
 
we gave Manure too much respect... it was all for the taking

Nammiss kweli Michelle aisee:A S embarassed:
ongea vizuri........supu ya ngumi ipo??
Kama unasafiri hivi karibuni unambie aseee!!
Unaweza kubahatika!! hahahahaa!!
 
ongea vizuri........supu ya ngumi ipo??
Kama unasafiri hivi karibuni unambie aseee!!
Unaweza kubahatika!! hahahahaa!!
nini supu ya ngumi... kuna makange ya mkia pale kwa mbaga (mbezi/kawe) na 8 packs za fire extinguisher

BTW.... andaa caravan kuanzia dec 20 ya nothern zone adventure... kuna haja ya kuanzia tanga, na kumalizia karatu.... SERIOUSLY
 
taratibu.......pamoja na uwezo wako wa kuwapangua vijana wote hapa ukajinyakulia yule Mnyange,
Leo unasema hujui alipo??!!

Aseee!!!
Duh!!
Hahaha!!! Aisee we jamaa iko na kumbukumbuku yeleuwiiiiiiii
 
nini supu ya ngumi... kuna makange ya mkia pale kwa mbaga (mbezi/kawe) na 8 packs za fire extinguisher

BTW.... andaa caravan kuanzia dec 20 ya nothern zone adventure... kuna haja ya kuanzia tanga, na kumalizia karatu.... SERIOUSLY
Dah!! 8 Packs of fire extinguisher
 
jAMANI GY KARUDI??? NASKIA ALIKUA TUNDURU ANATAFUTA MADINI
 
Dah!! 8 Packs of fire extinguisher
yeah cousin, thats for men, men and only men!!! Biggy na GY wanajua mziki wake... hiyo huwa inaanzia saa mbili asubuhi..........and it kills the whole day!!! Babu ana inni kama la sungura, extinguishe tatu tu kwisha kazi
 
Dah wamepotea kweli ila kama wanasikia warudi tu.......ila mi nimemiss Husninyo tu ingawa namwona kila siku....teh teh
 
yeah cousin, thats for men, men and only men!!! Biggy na GY wanajua mziki wake... hiyo huwa inaanzia saa mbili asubuhi..........and it kills the whole day!!! Babu ana inni kama la sungura, extinguishe tatu tu kwisha kazi
Dah!!! You are killin me na vicheko lol, babu uwezo wake kwa bwawa la kidatu ambalo halina maji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…