MMU thread ya kufungia mwaka

we SL,hivi mtu kutokujua jinsia yake ni zambi?
Dhambi kabisa Bishanga....huyu kongosho huyu we mwache tu manake anajuana mwenyewe na mungu wake...


Ngoja The Boss akipita pande hizi atatusaidia kutegua kitendawili..
 
Ha ha ha! Bishanga naona sasa umenichoka, looh hivi ntaanzia wapi kumwuliza E wa Tegeta? Unataka ntolewe meno ya chumbani au?.. Si unazielewa vizuri hasira zake?
Ashadii rafiki yake mkubwa ni Eliza wa Tegeta,cheki naye basi.
 
Mwambie mie sijasahau jinsia yangu...mi ni she so afanye bidii kuleta hiyo posa kabla ya x'mass, akisubiri niende vekesheni uchagani amekwisha manake nkirudi nafasi itakuwa imejaa!
Kwani Kongosho ni He? I doubt!
 
Dhambi kabisa Bishanga....huyu kongosho huyu we mwache tu manake anajuana mwenyewe na mungu wake...


Ngoja The Boss akipita pande hizi atatusaidia kutegua kitendawili..
tendawili,tega,yuko jf na hajui gender yake.....nikupe mji SL?
 
weeeeee,nilikuwa natania tu,Ashadii anamvyomgwaya E wa Tegeta,subutu yake hawezi kum face.


Kumbe ujui kua Eliza wa Tegeta kabla ya kukutana na wewe mimi ndo nilimpokea hapa mjini na kwamba ile pistol tulimsindikiza na Sweetie kwenda kununua?? Nini unaongea wewe B'? lol
 

Duu bishanga umenivucha mbavu zangu...hivi umeweaza nini kuleta hii threads yako hapa..kweli hebu tuarrange jinsi ya kupata bia + konyagi baridi pale samaki samaki kwenye viti virefu bana...by the way ya kwangu naiandaaaaaaaaaaa...
 
naisubiria kwa hamu,ngoja nimwambie na Aspirin akae mkao wa kula.

Aaah,ODM yuko na Rocky wanakunywa maji ya mende,temana nae huyo!Nimeshabip hebu toka nje uone!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…