nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
:lol::lol:...Haya bana nyumba kubwaWanaume wana nguvu za nje tu, mioyo yao ni dhaifu sana; ndo maana wakipata migogoro kidogo ya mapenzi wanatafuta kifua cha kulilia (JF) na wengine wanatafuta wrong solution kama vimada na ulevi. Lol.:A S 465:
1.Mke wangu ana Mimba ya Wajanja!
2.Nauza Mke Wangu!
3.Ndoto ya mke wangu imepunguza Upendo na amani!
4.Atorokwa na Mke Siku moja baada ya harusi!
5.Nimechoshwa na huyu mwanamke ..!
Kulikoni mbona kila kukicha ni matatizo wanawake wanawake nini kimetokea ...?:A S-coffee:
Inawezekana ikawa watu wanachangamsha tu kijiwe...mbaya zaidi wachangiaji hatujui ipi ni thread ya kweli na ipi twazinguliwa tu....
Siku zote nawaambia kuna watu wanalazimisha ndoa ili nao waonekane wapo kwenye ndoa
Ni "season" hujui kuwa watu saa hizi wana mawzo ya zawadi? inabaki "amma mimi amma yeye". Ikifika January kila mmoja anamtafuta mwenzake.
kweli kabisa wanachangamsha kijiwe.
1.Mke wangu ana Mimba ya Wajanja!
2.Nauza Mke Wangu!
3.Ndoto ya mke wangu imepunguza Upendo na amani!
4.Atorokwa na Mke Siku moja baada ya harusi!
5.Nimechoshwa na huyu mwanamke ..!
Kulikoni mbona kila kukicha ni matatizo wanawake wanawake nini kimetokea ...?:A S-coffee:
Nyingi huwa za kutunga.
Ninahisi baadhi ya threads ni za kutunga tu....
1.Mke wangu ana Mimba ya Wajanja!
2.Nauza Mke Wangu!
3.Ndoto ya mke wangu imepunguza Upendo na amani!
4.Atorokwa na Mke Siku moja baada ya harusi!
5.Nimechoshwa na huyu mwanamke ..!
Kulikoni mbona kila kukicha ni matatizo wanawake wanawake nini kimetokea ...?:A S-coffee:
Heri yangu mimi. Sijawahi kupenda!
Heri yangu mimi. Sijawahi kupenda!
mmh! am nt sure!!Are you sure?