Mna habari?!Kumbe ile Bil 20 ni makubaliano ya Mo na Simba na si Metl!

Mna habari?!Kumbe ile Bil 20 ni makubaliano ya Mo na Simba na si Metl!

alexelias

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2017
Posts
2,032
Reaction score
3,197
Sasa itakuwaje?!

Familia imesema haiutambui mkataba wa uwekezaji wa Bil 20 zile kwani yale yalikuwa makubaliano binafsi baina ya Mo na Simba.

Sasa najiuliza Manara ROPO atakuja na ipi gia?!
 
Tumsubiri Hadija maana katoka kuwa msemaji wa Club hadi kuwa msemaji wa familia.
 
Sasa itakuwaje?!

Familia imesema haiutambui mkataba wa uwekezaji wa Bil 20 zile kwani yale yalikuwa makubaliano binafsi baina ya Mo na Simba.

Sasa najiuliza Manara ROPO atakuja na ipi gia?!
Familia imesema lini wewe ndala? Watu wako bize kumtafuta kijana wao wewe unawaza ujinga! Labda tamko hilo limetolewa na mzee akilimali.
 
Simba ilisha ingia moja kwenye mfumo wa hisa... kama sio mo ata tokea mwengine ata nunua hisa na watakuja wengine na wengine
 
Ndala fc
GBWA-20181012180949.jpg
 
Simba ilisha ingia moja kwenye mfumo wa hisa... kama sio mo ata tokea mwengine ata nunua hisa na watakuja wengine na wengine
Mlishawavunja moyo! wakati wa mchakato wa kupata mwekezaji mlionesha upendeleo wa dhahiri kwa Mo
 
Mlishawavunja moyo! wakati wa mchakato wa kupata mwekezaji mlionesha upendeleo wa dhahiri kwa Mo
Na ilikua ni busara kufanya vile... yeye alisha anza kutoa pesa kusaida team... yeye ndio mtu alie leta wazo la kuwekeza simba
 
Back
Top Bottom