Mnacheza Mechi ya Kirafiki na Wazoa Taka wa Kigamboni mnashinda Goli 20 kwa 0 mnajisifu

Mnacheza Mechi ya Kirafiki na Wazoa Taka wa Kigamboni mnashinda Goli 20 kwa 0 mnajisifu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kama mnajiamini ombeni hata kwa bahati mbaya tu Mechi ya Kirafiki na Safiri Mafungu Mafungu FC mcheze nao mkione cha mtema kuni na Golini hakutokuwa na Kipa kwakuwa ameumia Kimiujiza akiwa amekaa tu katika Kiti chake akichati na Mkewe Kwao Pele Ronaldo Gaucho Neymar Nation.
 
Kama mnajiamini ombeni hata kwa bahati mbaya tu Mechi ya Kirafiki na Safiri Mafungu Mafungu FC mcheze nao mkione cha mtema kuni na Golini hakutokuwa na Kipa kwakuwa ameumia Kimiujiza akiwa amekaa tu katika Kiti chake akichati na Mkewe Kwao Pele Ronaldo Gaucho Neymar Nation.
Roho mbaya itakuwa we koloboi
 
Kama mnajiamini ombeni hata kwa bahati mbaya tu Mechi ya Kirafiki na Safiri Mafungu Mafungu FC mcheze nao mkione cha mtema kuni na Golini hakutokuwa na Kipa kwakuwa ameumia Kimiujiza akiwa amekaa tu katika Kiti chake akichati na Mkewe Kwao Pele Ronaldo Gaucho Neymar Nation.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kama mnajiamini ombeni hata kwa bahati mbaya tu Mechi ya Kirafiki na Safiri Mafungu Mafungu FC mcheze nao mkione cha mtema kuni na Golini hakutokuwa na Kipa kwakuwa ameumia Kimiujiza akiwa amekaa tu katika Kiti chake akichati na Mkewe Kwao Pele Ronaldo Gaucho Neymar Nation.

Nimesoma mara 150090 lakin cjaelewa kitu

Kaka muda mwingine pumzika ukae na wajukuu zako
 
Nimesoma mara 150090 lakin cjaelewa kitu

Kaka muda mwingine pumzika ukae na wajukuu zako
Usipomzoea na Kumsoma GENTAMYCINE kwa aina zake Nne ( 4 ) za Uandishi na Uwasilishaji wake wa Masuala Mtambuka hapa JamiiForums hakika Utamchukia, utapata nae taabu na utamshangaa ila ukiwa na Akili Kubwa kamwe hutomchukia na badala yake si tu Utampenda bali Utamzoea pia.

Pole sana.

Cc: Bila bila, adriz, Bujibuji Simba Nyamaume etc
 
Kama mnajiamini ombeni hata kwa bahati mbaya tu Mechi ya Kirafiki na Safiri Mafungu Mafungu FC mcheze nao mkione cha mtema kuni na Golini hakutokuwa na Kipa kwakuwa ameumia Kimiujiza akiwa amekaa tu katika Kiti chake akichati na Mkewe Kwao Pele Ronaldo Gaucho Neymar Nation.
Una gubu km la MKE mwenza.

Mtoto wa kiume kukalia mipasho si vizuri! Kila post mipasho!

Kila linalokujia kichwani unapost na unaamini hukosei.

Ni udhaifu mkubwa sana. Ni moja ya watu dhaifu!
 
Back
Top Bottom