Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure unaiface kiumeHakuna namna nyngn zaidi ya kukubaliana na hali hiyo.
Inategemea na hayo maamuzi, kikubwa yasiwe ya kukurupuka then ujutie. Fikiria hasi na Chanya ya maamuzi yako.Wandugu huwa mnakabiliana vipi na hali ya kutakiwa kuamua maamuzi magumu ya kuumiza moyo?
Mnafanikiwa vipi kuipita hiyo changamoto?. 🥺🥺 ili uwe sawa kama hapo kabla 😔
ndoa inampa wakat mgumuNini shida Jojo?
Sio kipindi kigumu, ila kwa kuwa ulishazoea ndio mana unaona ugumu. Em jipe punziko la mwezi hv usiwaze hiyo Ishu uone jinsi jambo litakavyokuwa jepesiAh ni kipindi kigumu sana. Ila kama ulivyosema ni kukubaliana na hali halisi tu.
Muda unatibu hili.Wandugu huwa mnakabiliana vipi na hali ya kutakiwa kuamua maamuzi magumu ya kuumiza moyo?
Mnafanikiwa vipi kuipita hiyo changamoto?. 🥺🥺 ili uwe sawa kama hapo kabla 😔
Wandugu huwa mnakabiliana vipi na hali ya kutakiwa kuamua maamuzi magumu ya kuumiza moyo?
Mnafanikiwa vipi kuipita hiyo changamoto?. 🥺🥺 ili uwe sawa kama hapo kabla 😔
Ahahah ushauri mzuri sana huu nimeukubali nitaufanyia kazi. Ingawa siyo swala la kuachwa au kuacha.Tafta tikiti la baridi weka kwenye freezer likiganda kula
Niamini mimi hutateswa na binadamu ukiweza hilo
Imenisaidia sana hii nkiachwa
Pia soma hapa kwa msaada zaidi.Wandugu huwa mnakabiliana vipi na hali ya kutakiwa kuamua maamuzi magumu ya kuumiza moyo?
Mnafanikiwa vipi kuipita hiyo changamoto?. 🥺🥺 ili uwe sawa kama hapo kabla 😔