Mnafanyaje wenzangu?

Tall

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2010
Posts
1,425
Reaction score
168
Nina muda usiozidi miezi miwili hapa JF nimeanza kunongewa na kwa vile sipendi vya bure nipo mbioni kwenda kulipa premium. LAKINI? kuna watu hapa JF hasa wewe na wewe eeeh na fulani nilitaka kusahau.Muda mwingi mko hewani, kila nikichungulia nawakuta hewani,hata sielewi,kazi mnafanya saa ngapi,kunywa saa ngapi,kusali saa ngapi,kula saa ngapi na kukumbatia saa ngapi? yaani hata usiku mpo hewani. NIPENI siri ya ratiba zenu maana mmmh kuendelea nataka na kuacha kulogin JF pia nataka.Naona sina muda kabisakabisaaaa.
 
Hawafanyi log out, kama mimi sina sababu ya ku logout. So ukiona mtu yuko loged in usidhani yupo online.
 

Ndipo ushangae sasa! na wewe wakati ukiwacheki wenzio kuona kama hawajalala unakuwa ukifanya nini?......si unakuwa macho, unakuwa hauendi kusali wala kula wala kulala vinginevyo usingewaona si ndio?
 
Ndipo ushangae sasa! na wewe wakati ukiwacheki wenzio kuona kama hawajalala unakuwa ukifanya nini?......si unakuwa macho, unakuwa hauendi kusali wala kula wala kulala vinginevyo usingewaona si ndio?.HAPO CHACHAAA...........KAZI KWELI KWELI
 
Ndipo ushangae sasa! na wewe wakati ukiwacheki wenzio kuona kama hawajalala unakuwa ukifanya nini?......si unakuwa macho, unakuwa hauendi kusali wala kula wala kulala vinginevyo usingewaona si ndio?
naweza kusema ndio.Sasa si ndio nataka kutumia muda wangu vizuri?
 
hahaaa Tall karibu
si wanasemaga ukienda Roma na wewe u-behave kama warumi??

naona na wewe humu humu tu, hewani 24/7
 
Kila jambo na wakati wake Tall rejea vifungu vya biblia utajua watu wanafanyaje...ni rahisi sana...all the best..
 
mbona inajieleza B!!!

au mpaka ukashtue ndo uone vizuri??

Ngoja nimcheck yule Bala kwanza!!
..nitarudi. I am starting to like them babies.....naona wanaongelewa sana
Mara shishi.......
 
sisi wengine kazi yetu ni ku-log in kushinda humu 24/7
 
Ngoja nimcheck yule Bala kwanza!!
..nitarudi. I am starting to like them babies.....naona wanaongelewa sana
Mara shishi.......

umcheck Bala tena wa nini kwani hapo humuoni B?

bado wewe tu, shishi kakupita....

kumbe ukoo wetu una mods wawili tayari u and Goeff?? ndo maana mnamchanganya Tall,
hajui mnalala au mna amka!! u r alwys on!!
 
mbona inajieleza B!!!

au mpaka ukashtue ndo uone vizuri??
kama huyo ni mtoto si dori basi kaibiwa mtu hapa: wazazi weusi mtoto mwarabu au mhindi,samahani kama namkwaza mwenye avatar
 
Ngoja nimcheck yule Bala kwanza!!
..nitarudi. I am starting to like them babies.....naona wanaongelewa sana
Mara shishi.......
ooooh YES naaaanza kuelewa. I AM SO SORY.
 
je wewe unapochungulia na kukuta watu wapo hewa huwa unafanya kazi saa ngapi???.OONDOA KWANZA BORITI KATIKA JICHO LAKO NDIPO UTOE KIBANZI KATIKA JICHO LA NDUGU YAKO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…