Mjomba kulia sana sometime unafiki tuu mtu anaweza kuwa touched inside but akacontrol emotion....kama unakumbuka mh rais alipokuwa south africa kwenye msiba wa baba mandela katika speech yake kulikuwa na some jokes watu walikuwa wanacheka huku wanalia so jombi relax take easy...take it like a man
Maybe humpend tu jb kaka... sometimes watu inakua ngumu kuamin kama mtu kafa anajikuta Anacheka ila anapotoa hotuba ya mwisho ndo anaposhtuka z t true... ndo maana alilia alipokua anamuongelea adam cz akakumbuka maisha walioshare sasa kucheka sio unafki km hujawah cheka pole..... kulia sio kua na uchungu... maybe unalako na jb