Mnaita wawekezaji warudi ili muwakamate? Tulidhani Rais anataka kufufua uchumi

Mnaita wawekezaji warudi ili muwakamate? Tulidhani Rais anataka kufufua uchumi

Semahengere

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2020
Posts
1,186
Reaction score
1,966
Kwa kifupi hapa tumekosea. Manji hakukimbia nchini aliondoka.

Mlikuwa wapi akiondoka hadi mumkamate mtu Airport wakati anarudi nyumbani?

Hii ni sifa mbaya kama Taifa linalohitaji uwekezaji mkubwa for economy recovery.

Muelewe wafanyabiasha wakubwa wana vyama vyao na network yao kwa hiyo wanaelezana kinachoendelea.

Ukweli swala la Manji hekima inahitajika itumike sana na kama kuna mzimu wa Magufuli huko bado unazurura wenye huo mzimu waondolewe.

Unless Rais alivyosema kazi iendelee bado anapambana na matajiri chini kwa chini kumuenzi mwendazake alivyosema matajiri wataishi kama mashetani kwenye utawala wake.

Mtu haweza kuja kuwekeza millions of dollars kwenye nchi ya watu wajinga kama hii wanaoishi na visasi na wivu kutokupenda maendeleo ya mtu mwingine.

Hata kama mtu mnamdai mnashindwa kukaa naye mkaongea kwa maslahi mapana ya sekta ya uwekezaji.

Watanzania tujitafakari kama kweli tuko serious na tunahitaji maendeleo.

Hawa watu walioajiriwa na Magufuli wenye tabia za Ole Sabaya ni wakuondoa.

Wamejaa visasi kama Boss wao alivyokuwa. Wivu umewajaa.
 
Hata mimi nimeshangazwa sana na ukamataji wa Manji, kwani aliondoka nchini kwa utaratibu wa kawaida wala hakutoroka sasa kwa nini akamatiwe airport akirudi nchini?ni aibu mh Rais toa maagizo kwa vyombo vinavyomshikilia vimuachie na badala yake kuwe na mazungumzo pale penye shida ili kuwekana sawa na hawa wafanyabiashara.
 
alitoroka fatilia nyuzi humu utaona alivyoondoka nchini
Hata mimi nimeshangazwa sana na ukamataji wa Manji, kwani aliondoka nchini kwa utaratibu wa kawaida wala hakutoroka sasa kwa nini akamatiwe airport akirudi nchini?ni aibu mh Rais toa maagizo kwa vyombo vinavyomshikilia vimuachie na badala yake kuwe na mazungumzo pale penye shida ili kuwekana sawa na hawa wafanyabiashara.
 
Kwa kifupi hapa tumekosea. Manji hakukimbia nchini aliondoka.

Mlikuwa wapi akiondoka hadi mumkamate mtu Airport wakati anarudi nyumbani?

Hii ni sifa mbaya kama Taifa linalohitaji uwekezaji mkubwa for economy recovery.

Muelewe wafanyabiasha wakubwa wana vyama vyao na network yao kwa hiyo wanaelezana kinachoendelea.

Ukweli swala la Manji hekima inahitajika itumike sana na kama kuna mzimu wa Magufuli huko bado unazurura wenye huo mzimu waondolewe.

Unless Rais alivyosema kazi iendelee bado anapambana na matajiri chini kwa chini kumuenzi mwendazake alivyosema matajiri wataishi kama mashetani kwenye utawala wake.

Mtu haweza kuja kuwekeza millions of dollars kwenye nchi ya watu wajinga kama hii wanaoishi na visasi na wivu kutokupenda maendeleo ya mtu mwingine.

Hata kama mtu mnamdai mnashindwa kukaa naye mkaongea kwa maslahi mapana ya sekta ya uwekezaji.

Watanzania tujitafakari kama kweli tuko serious na tunahitaji maendeleo.

Hawa watu walioajiriwa na Magufuli wenye tabia za Ole Sabaya ni wakuondoa.

Wamejaa visasi kama Boss wao alivyokuwa. Wivu umewajaa.

Wakati Samia anasema yeye na magufuli ni kitu kimoja ulikua wapi? Unaosha makalio au? Kumbafu hii
 
TAKUKURU wametia aibu sana. Madai yao ni ya kijinga sana. Wanasema Manji alikwepa kodi mwaka 2011 pia alikula hela za Yanga.
Hivi kati ya Yanga na Manji nani alikula hela za mwenzie? Yanga walikuwa hata mishahara ya wachezaji hawana Manji akawa anawafadhili leo anaitwa mwizi?

Kuhusu kukwepa kodo 2011 waje wamkamate 2018 au 2021 hii ni haki kweli? Mbona Tax clearance mnampa kila mwaka?

SERIKALINI MUWE NA AIBU.
 
Kwa kifupi hapa tumekosea. Manji hakukimbia nchini aliondoka.

Mlikuwa wapi akiondoka hadi mumkamate mtu Airport wakati anarudi nyumbani?

Hii ni sifa mbaya kama Taifa linalohitaji uwekezaji mkubwa for economy recovery.

Muelewe wafanyabiasha wakubwa wana vyama vyao na network yao kwa hiyo wanaelezana kinachoendelea.

Ukweli swala la Manji hekima inahitajika itumike sana na kama kuna mzimu wa Magufuli huko bado unazurura wenye huo mzimu waondolewe.

Unless Rais alivyosema kazi iendelee bado anapambana na matajiri chini kwa chini kumuenzi mwendazake alivyosema matajiri wataishi kama mashetani kwenye utawala wake.

Mtu haweza kuja kuwekeza millions of dollars kwenye nchi ya watu wajinga kama hii wanaoishi na visasi na wivu kutokupenda maendeleo ya mtu mwingine.

Hata kama mtu mnamdai mnashindwa kukaa naye mkaongea kwa maslahi mapana ya sekta ya uwekezaji.

Watanzania tujitafakari kama kweli tuko serious na tunahitaji maendeleo.

Hawa watu walioajiriwa na Magufuli wenye tabia za Ole Sabaya ni wakuondoa.

Wamejaa visasi kama Boss wao alivyokuwa. Wivu umewajaa.
Mm nafikiri wangempeleka maahakamani ukweli ujulikane tusimtetee ukakuta ana makosa
 
All in all, sheria zipo wazi. Ni kosa kumshikilia mtu kwa zaidi ya masaa 72 bila kumfikisha Mahakamani ili ikibidi apelekwe mahabusu gerezani.

Huo upelelezi wao haujakamilika tangu mwaka 2018 Manji “alipotoroka”?TAKUKURU wanavunja sheria waziwazi
 
Kwa kifupi hapa tumekosea. Manji hakukimbia nchini aliondoka.

Mlikuwa wapi akiondoka hadi mumkamate mtu Airport wakati anarudi nyumbani?

Hii ni sifa mbaya kama Taifa linalohitaji uwekezaji mkubwa for economy recovery.

Muelewe wafanyabiasha wakubwa wana vyama vyao na network yao kwa hiyo wanaelezana kinachoendelea.

Ukweli swala la Manji hekima inahitajika itumike sana na kama kuna mzimu wa Magufuli huko bado unazurura wenye huo mzimu waondolewe.

Unless Rais alivyosema kazi iendelee bado anapambana na matajiri chini kwa chini kumuenzi mwendazake alivyosema matajiri wataishi kama mashetani kwenye utawala wake.

Mtu haweza kuja kuwekeza millions of dollars kwenye nchi ya watu wajinga kama hii wanaoishi na visasi na wivu kutokupenda maendeleo ya mtu mwingine.

Hata kama mtu mnamdai mnashindwa kukaa naye mkaongea kwa maslahi mapana ya sekta ya uwekezaji.

Watanzania tujitafakari kama kweli tuko serious na tunahitaji maendeleo.

Hawa watu walioajiriwa na Magufuli wenye tabia za Ole Sabaya ni wakuondoa.

Wamejaa visasi kama Boss wao alivyokuwa. Wivu umewajaa.

E0NhMwdXIAAW0HL (1).jpeg
 
Acha avune alichopanda kama Sabaya
... Hii ni funzo kubwa kwa wafanyabiashara wapigaji kwamba siku ya kulipa itafika ukicheza faulo.
 
Kwa kifupi hapa tumekosea. Manji hakukimbia nchini aliondoka.

Mlikuwa wapi akiondoka hadi mumkamate mtu Airport wakati anarudi nyumbani?

Hii ni sifa mbaya kama Taifa linalohitaji uwekezaji mkubwa for economy recovery.

Muelewe wafanyabiasha wakubwa wana vyama vyao na network yao kwa hiyo wanaelezana kinachoendelea.

Ukweli swala la Manji hekima inahitajika itumike sana na kama kuna mzimu wa Magufuli huko bado unazurura wenye huo mzimu waondolewe.

Unless Rais alivyosema kazi iendelee bado anapambana na matajiri chini kwa chini kumuenzi mwendazake alivyosema matajiri wataishi kama mashetani kwenye utawala wake.

Mtu haweza kuja kuwekeza millions of dollars kwenye nchi ya watu wajinga kama hii wanaoishi na visasi na wivu kutokupenda maendeleo ya mtu mwingine.

Hata kama mtu mnamdai mnashindwa kukaa naye mkaongea kwa maslahi mapana ya sekta ya uwekezaji.

Watanzania tujitafakari kama kweli tuko serious na tunahitaji maendeleo.

Hawa watu walioajiriwa na Magufuli wenye tabia za Ole Sabaya ni wakuondoa.

Wamejaa visasi kama Boss wao alivyokuwa. Wivu umewajaa.
Acha sheria ifuate mkondo wake. Sasa wewe umeshakuwa mpelelezi unajua kila kitu au ni fisadi mwenzako nini? Ulifikiri Rais Samia atawatetea wizi na mafisadi kama nyinyi lazima sheria ifuate mkondo wake no way.
 
Dunia hadaa ulimwengu shujaaaa,nani alisema dunia ina usawa?,usawa utoke wapi kama kila uchao tunaendeleza visasi?
 
Hata mimi nimeshangazwa sana na ukamataji wa Manji, kwani aliondoka nchini kwa utaratibu wa kawaida wala hakutoroka sasa kwa nini akamatiwe airport akirudi nchini?ni aibu mh Rais toa maagizo kwa vyombo vinavyomshikilia vimuachie na badala yake kuwe na mazungumzo pale penye shida ili kuwekana sawa na hawa wafanyabiashara.
Kwahiyo kodi alizokwepa asamehewe??tusitoa ufahamu,Manji ni mjanjamjanja tu,kwanza wanamsema anauraia wa canada
 
Back
Top Bottom