Semahengere
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,186
- 1,966
Kwa kifupi hapa tumekosea. Manji hakukimbia nchini aliondoka.
Mlikuwa wapi akiondoka hadi mumkamate mtu Airport wakati anarudi nyumbani?
Hii ni sifa mbaya kama Taifa linalohitaji uwekezaji mkubwa for economy recovery.
Muelewe wafanyabiasha wakubwa wana vyama vyao na network yao kwa hiyo wanaelezana kinachoendelea.
Ukweli swala la Manji hekima inahitajika itumike sana na kama kuna mzimu wa Magufuli huko bado unazurura wenye huo mzimu waondolewe.
Unless Rais alivyosema kazi iendelee bado anapambana na matajiri chini kwa chini kumuenzi mwendazake alivyosema matajiri wataishi kama mashetani kwenye utawala wake.
Mtu haweza kuja kuwekeza millions of dollars kwenye nchi ya watu wajinga kama hii wanaoishi na visasi na wivu kutokupenda maendeleo ya mtu mwingine.
Hata kama mtu mnamdai mnashindwa kukaa naye mkaongea kwa maslahi mapana ya sekta ya uwekezaji.
Watanzania tujitafakari kama kweli tuko serious na tunahitaji maendeleo.
Hawa watu walioajiriwa na Magufuli wenye tabia za Ole Sabaya ni wakuondoa.
Wamejaa visasi kama Boss wao alivyokuwa. Wivu umewajaa.
Mlikuwa wapi akiondoka hadi mumkamate mtu Airport wakati anarudi nyumbani?
Hii ni sifa mbaya kama Taifa linalohitaji uwekezaji mkubwa for economy recovery.
Muelewe wafanyabiasha wakubwa wana vyama vyao na network yao kwa hiyo wanaelezana kinachoendelea.
Ukweli swala la Manji hekima inahitajika itumike sana na kama kuna mzimu wa Magufuli huko bado unazurura wenye huo mzimu waondolewe.
Unless Rais alivyosema kazi iendelee bado anapambana na matajiri chini kwa chini kumuenzi mwendazake alivyosema matajiri wataishi kama mashetani kwenye utawala wake.
Mtu haweza kuja kuwekeza millions of dollars kwenye nchi ya watu wajinga kama hii wanaoishi na visasi na wivu kutokupenda maendeleo ya mtu mwingine.
Hata kama mtu mnamdai mnashindwa kukaa naye mkaongea kwa maslahi mapana ya sekta ya uwekezaji.
Watanzania tujitafakari kama kweli tuko serious na tunahitaji maendeleo.
Hawa watu walioajiriwa na Magufuli wenye tabia za Ole Sabaya ni wakuondoa.
Wamejaa visasi kama Boss wao alivyokuwa. Wivu umewajaa.