Mnajisikiaje watu wengine?

Mama Sabrina

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
16,620
Reaction score
27,589
Unaandika nyuzi halaf inakosa wachangiaji mnajisikiaje na mtu mwingine akiandika kidogo watu wamejaa kupost na uzi unatembea haswa ukitazama watu zaidi ya laki au zaidi washaufungua huo uzi mnajisikiaje (ndio maana ikafunguliwa makapuku forum kwaajili ya haya mambo ).Unakuta member ni wa mda mrefu maarufu lakin akifungua uzi chalii inakuwaje mnakuwa mshawachoka au inakuwaje,kwangu hata msipochangia wala sitojali maana sio maarufu kama kina fidofido humu .
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kuwaza sana kunapelekea vidonda vya tumbo

Huu uzi wako tunachangia tu maana wengine wanaandika pumba sana na wanatoa majibu ya nyodo

Sasa mtu wa hivyo nitachangia uzi wake ili nifaidi nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…