Mwl Ngasa
Member
- Aug 9, 2012
- 32
- 7
kunasababu nyingi ambazo zmechangia kwa wanafunzi kufeli mtihani kidato cha nne mwaka 2012/2013 lakini mimi kama mwalimu ambae ni mtaalam katika fani hii navyojua kuwa kuna kitu kinaitwa mhamo wa ruwazo "Paradigm shift" yaani kunamabadiliko kidogo juu ya kujifunza na namna ya kupima kama somo limeeleweka kwa anaejifunza "competance based learning" inayoendana na "competance based assesment" sasa zamani tulikua tunajali sana mwanafunzi akumbuke hata kwa kukariri hata na walimu wengi wa sasa walisoma kwa mtindo huo, kwa sasa tunajali sana mwanfunzi awe na maarifa sijui niseme 'ujuzi' yaani hakuna haja ya kukariri ila aelewe! aelewe na akiulizwa maswali ajibu kama mtu anaeelewa sio kukariri, so hapo ndo uwezo wa kujieleza unavyomezwa na lugha kama cmzuri kwenye lugha hapo lazma akwame! na pia walimu wengi bado wanafundisha kwa mtindo wa kizamani! so nivigum sana kumfanya mwanafunzi ajitawale kwa kile atakachofundishwa! ningum kidogo yaani construction of test items and expected answer, technical terms used during assesment na vitu vingi vdogovdogo! Cjui kama nimeeleweka!