Mnakazana kuchukiana na kutukanana sababu ya Dini bila kujua maisha yanategemeana

Mnakazana kuchukiana na kutukanana sababu ya Dini bila kujua maisha yanategemeana

Sodoku

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2016
Posts
1,271
Reaction score
2,903
Hawa wawili waligundua. Kuwa pamoja na kuwa Dini zao ni tofauti wanategemeana. Mmoja ana macho ya kuona kule waendako. Mwingine hajui ila aendako ila ana miguu ya kuweza mpeleka akioneshwa.

So huyu Muislamu udhaifu wake ni macho. Haoni. Ila anaweza kutembea. Mkristo anaona mbele ila hawezi tembea. So Muhamad kambeba Samir anayeifahamu Njia. Kwa hii picha nimesikitika sana. Huku tz ambako Muhamad hakuwahi fika...Jesus utotoni aliwahi fika Misri hapo.

Weusi mnakazana kuchukiana na kutukanana sababu ya Dini bila kujua maisha yanategemeana sana.

Screenshot_2024-09-29-12-31-03-088_com.instagram.android~2.jpg
 
Our hands and minds are tied there's nothing we can do we are helpless and hopeless.

But there's hope as long as there's sex and hand to mouth nothing to worry.

Miti na msosi yatosha maamaee

Nyau de adriz
 
nimezaliwa mbeya kuna makanisa mengi sana kuliko misikiti lakini cha ajabu huwezi kuta wakristo wakiwanyanyapa waislam ila sasa nipo zenji hapa najionea mambo mambo fulani hivi ambayo sio safi kabisa on this side
 
Kuna dini ambazo huwezi kuzitofatisha na ugaidi kwa maneno Yao na Matendo Yao.
 
You need to call ur ancestors for help.
When something is wrong in ur life
 
Back
Top Bottom