Wakishajenga jengo zuri ndipo itakuaje? Au wata gain kipi hasa? Kikubwa wapambane kutanua wigo wa ukubwa wa chama na popularity kuelekea uchaguz mkuu wapate viti vya kutosha bungeni plus wajenge hoja za msingi za kushawishi wananchi! Hayo ndio ya msingi!
Tayari dozi imeshakuingia, na maji umeanza kuyaita mma.
Majengo mnayojivunia mlikuwa nayo wakati waasisi wakipata madaraka kutoka kwa mkoloni mzungu?
Mmegeuka kuwa wakoloni weusi na kujificha nyuma ya kivuli cha ufisadi na wizi wa kutisha, na kujenga majengo ya kifahari na kisha kuanza kukebehi Watanzania maskini, siyo!?
Sera zenu ziwakandamize watu, na kuwafanya watopee kwenye umaskini wa kutisha, na hatimaye wakitaka kujikomboa mnaanza kuwakashifu juu ya udhaifu wao, siyo!?
Cha ajabu kibaraka na chokoraa kama wewe utakuta pia ni maskini wa kutupwa, lakini upo kwenye mning'inio utokanao na na ulevi wa mahaba ya kijinga kqa wale wasiofanana na wewe, bali wamekwisha athiri uwezo wako wa kufikiri na kuweza kuhoji kuhusu ustawi wa kesho yako na ya wanao!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.