Hiyo kesi iliishia palepale itakapoishia hii ya behewa chakavu za billion 2@,ila yule mwekezaji alikuwa ni kivuli tu,wasusi wa mpango walikuwa ni hawahawa viongozi fisadi ambao wengine bado wapo na wengine hawapo tena duniani,walipokuja tu cha kwanza walisomba hela kama mkopo,pili wakasema zile engine hazifai kwa hiyo wanazipeleka India zikarekebishwe kidogo,kisha wakabeba na mabehewa kadhaa,wakadai pia yanaenda kurembwa hukohuko srinagar,baadaye tukaonyeshwa behewa zilizowekwa fomu kama zile za kwenye vilabu vya kangara,hapo mwekezaji shivanmurgan kumar akawa amemaliza kazi,akarudi zake India kula kachori na kuberi!! Hii nchi tumelaliwa sana,au nasema uongo ndugu zangu?Hii nchi rahaa sana ukiwa umesoma miaka ya nyuma kidogo kipindi cha Jakaya sikosei, shirika la reli lilipata changamoto ya uendeshaji na kufikia kuporomoka mpaka kufikia kutafutwa muwekezaji.
Na huyu alikuwa muhindi wa india ila alivopewa kuendesha shirika na yeye alivokuwa mjanja alisafirisha vichwa vya treni kupeleka kwao au ilikuwa tetesi.
Kisa kingine muwekezaji alivopewa kuendesha shirika ili bidi serikali impatie na mtaji [emoji23][emoji1787]. awezeshwe
Hii kesi ilifikiaga wapi?
HatariiiiiNingekuwa mchawi radi ingewahusu mafisadi wa CCM
Sio Kikwete alikuwa ni Mkapa.. Na Sera ya ubinafsishaji.. Ndio ilikuwa kipindi anaelekea mwishoni mwa utawala wake.. Aliwapa shirika sijui kampuni ya Rites ya India.. Wakaanza kusafirisha mabehewa kwenda India.Hii nchi rahaa sana ukiwa umesoma miaka ya nyuma kidogo kipindi cha Jakaya sikosei, shirika la reli lilipata changamoto ya uendeshaji na kufikia kuporomoka mpaka kufikia kutafutwa muwekezaji.
Na huyu alikuwa muhindi wa india ila alivopewa kuendesha shirika na yeye alivokuwa mjanja alisafirisha vichwa vya treni kupeleka kwao au ilikuwa tetesi.
Kisa kingine muwekezaji alivopewa kuendesha shirika ili bidi serikali impatie na mtaji [emoji23][emoji1787]. awezeshwe
Hii kesi ilifikiaga wapi?