Mnakumbuka Miaka ya 80

Mnakumbuka Miaka ya 80

mabwana

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2012
Posts
307
Reaction score
316
Nakumbuka miaka ya themanini hakuna sabuni, hakuna mafuta ya taa, hakuna petrol kwa mgao, hakuna dawa ya meno , hakuna beer bar? Ukikamatwa na usd kesi kubwa sana , au sabuni ya kenya au dawa ya meno au sigara paket 3

Kipindi kimepata sasa hivi kila kitu kipo ni pesa yako tulikuwa nyuma sana kimaendeleo naomba tuelendee hivyo vijana msikute yale tuliyopata siasa ni sumu kali kama kidini
 
Nakumbuka miaka ya themanini hakuna sabuni, hakuna mafuta ya taa, hakuna petrol kwa mgao, hakuna dawa ya meno , hakuna beer bar? Ukikamatwa na usd kesi kubwa sana , au sabuni ya kenya au dawa ya meno au sigara paket 3

Kipindi kimepata sasa hivi kila kitu kipo ni pesa yako tulikuwa nyuma sana kimaendeleo naomba tuelendee hivyo vijana msikute yale tuliyopata siasa ni sumu kali kama kidini
Lakini kuna watu Mengine wanasema maisha kipindi hicho yalikua mazuri kuliko sasa!
 
Halafu mnaambiwa acheni kuhubiri mambo ya siasa tuchape kazi hamtaki.Ni kweli nchi zilizojikita kwenye longo longo za kisiasa miaka ile ya vita baridi zilikuwa nyuma sana kimaendeleo.China pamoja na siasa yake wakati ule kwa sasa ukomunisti wao wameubadilisha sana ndo maana wana nguvu kubwa kiuchumi
 
Hali ilikuwa ngumu sana,usiombe ilikuwa balaaa kubwa.
Nakumbuka maduka ya kaya,lo usiombe Tanzania ilikuwa ni shida tu.
 
Naumbuka sana alipokuwa Sokoine nilikuwa form four Pugu, tulilia sana. Nakumbuka ulikuwa taarifa ya habari ya SAA kumi jioni
 
Back
Top Bottom