SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Kuna siku nadhani msimu uliopita wakati Simba inapitia changamoto ya nafasi ya golikipa, niliwahi kushauri John Bocco apewe tizi ili awe golikipa. Niliamini angeweza kuwa kipa mzuri kuliko hata Ally Salim.
Kuna watu wakadhani natania au namkosea heshima Bocco.
Kutokana na uzoefu wangu wa kucheza mpira kwa kiwango cha juu sana pamoja na kwamba sikufika level za mapro, kuna kitu kimoja niligundua na nakiamini.
Beki ana nafasi kubwa ya kuwa mshambuliaji mzuri na kinyume chake pia ni kweli. Vivyo hivyo, golikipa ana uwezo wa kuwa mshambuliaji tena mzuri tu hasa striker na kinyume chake pia ni kweli.
Naamini hivyo kwa sababu mfano kwa beki umecheza miaka mingi ukikabiliana na washambuliaji, inafika wakati unajua jinsi wanavyofikiri.
Siku ukiambiwa ubadili nafasi inakuwa rahisi kucheza nafasi yake maana akili tayari inaweza kufikiri kama mtu huyo.
Tena unakuwa na advantage ya ziada, unakuwa na uwezo wa kufikiri kama beki pia kwa hiyo unakuwa na uwezo wa ziada wa kuwashinda mabeki.
Muogope sana mchezaji aliyeswitch nafasi kama hizo, yaani ameanza kama beki akahamia mshambuliaji au kinyume chake, au kipa akahamia kuwa mshambuliaji, au kinyume chake. Huwa wanakuwa wazuri sana.
Mifano ya haya kutokea ipo tena mingine hapa hapa Tanzania.
Kuna golikipa wa TP Mazembe, Suleiman Shaibu ameprove theory yangu kuwa ni kweli maana sasa hivi kageuzwa striker na anatupia magoli sio poa.
Soma hii mada ya Bocco: John Bocco aandaliwe kama golikipa wa akiba
Kuna watu wakadhani natania au namkosea heshima Bocco.
Kutokana na uzoefu wangu wa kucheza mpira kwa kiwango cha juu sana pamoja na kwamba sikufika level za mapro, kuna kitu kimoja niligundua na nakiamini.
Beki ana nafasi kubwa ya kuwa mshambuliaji mzuri na kinyume chake pia ni kweli. Vivyo hivyo, golikipa ana uwezo wa kuwa mshambuliaji tena mzuri tu hasa striker na kinyume chake pia ni kweli.
Naamini hivyo kwa sababu mfano kwa beki umecheza miaka mingi ukikabiliana na washambuliaji, inafika wakati unajua jinsi wanavyofikiri.
Siku ukiambiwa ubadili nafasi inakuwa rahisi kucheza nafasi yake maana akili tayari inaweza kufikiri kama mtu huyo.
Tena unakuwa na advantage ya ziada, unakuwa na uwezo wa kufikiri kama beki pia kwa hiyo unakuwa na uwezo wa ziada wa kuwashinda mabeki.
Muogope sana mchezaji aliyeswitch nafasi kama hizo, yaani ameanza kama beki akahamia mshambuliaji au kinyume chake, au kipa akahamia kuwa mshambuliaji, au kinyume chake. Huwa wanakuwa wazuri sana.
Mifano ya haya kutokea ipo tena mingine hapa hapa Tanzania.
Kuna golikipa wa TP Mazembe, Suleiman Shaibu ameprove theory yangu kuwa ni kweli maana sasa hivi kageuzwa striker na anatupia magoli sio poa.
Soma hii mada ya Bocco: John Bocco aandaliwe kama golikipa wa akiba