Lilisave sana chai asubuhi kama umeme unekutanaNakumbuka nyumbani lilikuwepo hili jiko.lina Moto mkali usilione hivyo.
Ninawaza bajeti ya nishati hapa!La tambi hadi leo lipo linasaidia sana chai ya asubuhi kabla ya kwenda kazini na watoto shule
Hahahaha mtungi kg15 ni 54000 mkuu vyote vinatumika maana gas ina urahis na mafuta ukiwa na vyote viwli mwaka unaisha bila kuwaza maswala ya nishati hapo ongeza na kagunia ka mkaaNinawaza bajeti ya nishati hapa!
Mtungi wa gas, kg 15 ni elf50, debe (20ltrs) la kerosine elf40! Nitalitafuta hilo la tambi.
Afu lit 20 nadhani ukienda sheli au ukipata sehem wana ya kenya hadi 34000 unapata au 37000 sheliNinawaza bajeti ya nishati hapa!
Mtungi wa gas, kg 15 ni elf50, debe (20ltrs) la kerosine elf40! Nitalitafuta hilo la tambi.
Mkuu vyote hivyo nimevitumia.Hahahaha mtungi kg15 ni 54000 mkuu vyote vinatumika maana gas ina urahis na mafuta ukiwa na vyote viwli mwaka unaisha bila kuwaza maswala ya nishati hapo ongeza na kagunia ka mkaa
Kweli kabisa ila gas ki gheto gheto huwa naenda nusu mwaka maana upikaji wangu kama aslay mkuu#mkangafuu#Mkuu vyote hivyo nimevitumia.
Karibia vinashabihiana. Hiyo kg15 ya gas kwa mapishi yote ni mwezi m1 tu, kwisha.
Hilo debe ka kerosine nalo pia ni mwezi ila lazima lisapotiwe na mkaa. Maana nafuta ya taa hayana uwezo wa kuivisha maharage haraka. Ila ga gas ni mult purpose, harage likiinjikwa linaoza baada ya nusu saa.
Basi havishabihiani kwani mafuta mpaka yasaidiwe na mkaaMkuu vyote hivyo nimevitumia.
Karibia vinashabihiana. Hiyo kg15 ya gas kwa mapishi yote ni mwezi m1 tu, kwisha.
Hilo debe ka kerosine nalo pia ni mwezi ila lazima lisapotiwe na mkaa. Maana nafuta ya taa hayana uwezo wa kuivisha maharage haraka. Ila ga gas ni mult purpose, harage likiinjikwa linaoza baada ya nusu saa.
kampuni ya shamba shapeup wameyaleta wanayauza sh 90,000
We jamaa muhenga sana
nitalipata wapi kama hilo mkuu
Hellow kaka VP hi naweza kuipata kwa Sasa???
Samahani ninashida na jiko la stove la mjerumani Kama unalo nicheki kwa 0784431041Kwetu mpk leo lipo. 👌