Thread ya miaka saba nyuma.Samahani ninashida na jiko la stove la mjerumani Kama unalo nicheki kwa 0784431041
Kaka vp Bado hujapata Hilo jiko???Kuna mahali ngoja nitacheki
Au syo!!Thread ya miaka saba nyuma.
Sasa watu tunatumia gesi kwenda mbele
Hello hilo jiko nalihitaji Kama unalo la kijerumani nichek kwa 0784431041 Whatsapp tufanye biashara etHili Jiko kuna mhindi mmoja hapa Arusha analiuza 85,000/=. Nalikusanyia hela
Sio dhahabu ila ni pure shaba...kwa sasa hv ukiwa nalo ni dili sanaIlikuwa ukilimiliki mademu wasomi hadi utawakataa. Alikuwa nalo mjomba na alionekana mtu wa mamtoni. Siku moja jamaa yangu akaniambia tuliibe kwani liko full dhahabu!!!! Utoto+ushamba nuksi tupu.
Hahaha watajua umewasha Altezza au subaru. .... uongo!Hili jiko balaa ilikuwa ukiliwasha hata nyumba ya jirani watajua kuwa jiko limewashwa.
Sina mkuu. Jaribu kutafuta kwenye Hilo duka Remtula ArushaHello hilo jiko nalihitaji Kama unalo la kijerumani nichek kwa 0784431041 Whatsapp tufanye biashara et
Okay sawaBado ndugu yangu
Okay sawa ila mi sipo Arusha kwa sasa nipo Tabora huku et!!!Sina mkuu. Jaribu kutafuta kwenye Hilo duka Remtula Arusha
Mkuu tafuta ndugu Yako Arusha akuchekie akutumie.Okay sawa ila mi sipo Arusha kwa sasa nipo Tabora huku et!!!
Okay sawaMkuu tafuta ndugu Yako Arusha akuchekie akutumie.
Unabei gani nikuleteeKaka vp Bado hujapata Hilo jiko???