Mnamkumbuka Heaven on desert?

Nchi Kavu

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2010
Posts
4,290
Reaction score
2,468
japo nyt kali hivyo hivyo tu. mnamkumbuka? mnakumbuka wakati jamaa analeta ishu za diamond watu wakawa wanamsema sana humu? jamaa alisimama kidete sana kumpa dai promo humu jf na mwisho wa siku leo hana tena kazi ngumu. kila mmoja anampa dai promo humu. popote ulipo desert hongera. mlijipanga kweli
 

Sahivi yuko bize na camera kuchukua matukio hana time tena ya kuingia humu
 

Jamaa anashindaga zake Instagram akipokea Likes za kutosha,alipigwa sana vita humu ndani,alianza kumchukia mtu mmoja wengine wakafata kama bendera inavofata upepo.

Matokeo yake wale walokuwa wanamponda kwa sababu ya Sifa zake sasa hivi humu ndani kuna watu wanasifa kumzidi HOD na hawapigwi vita wala majungu!Na chuki nyingine ilikuwa ni kwasababu ya kumsifia sana Platinumz mwisho wa siku humu ndani Umeanzishwa mpaka uzi wa diamond na wengine lakini watu wako kimya.

Aaargh!humu ndani sometimes kuna watu wanajifanya wao ndio wao,kila kitu waanzisha wao
 

ndo hivyo tena chema kinajiuza. hard work pays also
 
Jamaa anazungukia Jf sema ha post tu ,, Jana Insta nimeona kacopy comment ya Mkuu Ruta kai paste kule na chanzo kasema ni jf
 
Last edited by a moderator:
Yaani nilijua kadanja(Kafa) daah next time uwe unaweka kichwa cha mada vzr aaah.
 
Kwani huyu jamaa ni nani hapa town? au ni balozi wa China
 
Namkumbuka sana huyu jamaa, yaani hata DOMO akijamba lazima aweke hiyo story hapa!
 
Teheee tehee chief unasubiri atokee kwa ID ile ile utasubiri sana,angalia vizuri watu wa Diamond umu jamvini utagundua kitu.
 
Kwani hawezi kupita kusoma

anaweza ila ni ngumu sana kwa mtu uliyekuwa memba ukaja kama guest tu ukapitia majukwaa na ukatoka bila kulog in na kukoment. hasa kipindi hiki dai anaongelewa sana. kama aliweza basi hongera zake
 
Ni tofauti na wengine,yeye alikuwa anapost kimajungu as if tunashindana humu,ila wengine wanaopost wanaweka mada inajadiliwa vizuri,jamaa hajui kuwasilisha mada zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…