Mnamkumbuka huyu jamaa anayekata mauno?

Nyie ndo mnadata mwanamke akikata mauno
Ni kweli kabisa, lakini kuna siku moja nilikuwa "Club" sasa kuna jamaa alikuwa anakata mauno sana kiasi wadada wote wakawa wanamtizama yeye tu huku wakionekana wazi wazi wanafurahia sana jinsi anavyokata mauno. Kwa kuwatizama tu usoni, walikuwa kama wamevutiwa sana na jamaa.
 
Uyu jamaa yupo feri kwa sasa ni mvuvi mzuri maarufu sana pale feri.kwa sasa yupo kwenye mchakato wa kuyavuta mabilioni yake ya big brother kutoka uswizi
Mkuu hayo maelezo umeyatoa kuchangamsha gege au vipi maana huyo jamaa hayupo bongo ila ana ndugu yake wa kiume wamefanana hivyo hivyo naye ni rasta labda kama unaemzungumzia huyo.
 
kuna kipindi nilikuwa nakutanana nae moshi maeneo ya kindoroko pale kwenye PIZZA alikuwa anakuja namzungu wake baada ya hapo walivyo zengua zengua akawa haji mara kwa mara
 
Watanzania mashuhuri wakipata hela ndefu kidogo lazima wale unga na hapo ndio wanapotea kwenye gemu kabisa
Siyo watanzania tu mashuhuri. Dunia nzima watu wengi mashuhuri wakishapata pesa tu wanaingizwa kwenye utumiaji wa madawa ya kulevya. Haya nia majanga makubwa duniani kote!
 
Siyo watanzania tu mashuhuri. Dunia nzima watu wengi mashuhuri wakishapata pesa tu wanaingizwa kwenye utumiaji wa madawa ya kulevya. Haya nia majanga makubwa duniani kote!
Kama Mwisho Mwampamba, hivi huyu naye alipoteleaga wapi? Nasikia pombe zimemharibu kabisa jamaa.
 
Kuna kipindi nilikua nakutana nae bar za Moshi, ni mpiga maji mzuri tu
 
Kuna kipindi alikua anapiga Kazi kama kinyozi kwenye salon flan hivi pale shunt moshi. Sijui pesa alizihonga zote.. Mwenzie mwisho mwampamba ndio kaamua kuwa mlevi maisha yake yote
 
Kuna kipindi alikua anapiga Kazi kama kinyozi kwenye salon flan hivi pale shunt moshi. Sijui pesa alizihonga zote.. Mwenzie mwisho mwampamba ndio kaamua kuwa mlevi maisha yake yote


Ni uamuzi mzuri, maana gongo haipandi bei, tangu nimepata akili mpaka leo bei ni ileile tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…