Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
huyu jamaa alizungumza kuwapinga vikali GAYS katika talkshow,campaign iliyofuata dhidi yake ikamuondoa katika game-kuona mambo yanaenda vibaya na against principle zake akaomba msamaha but he was a shade to late,the rest is history-he never recovered
huyu jamaa alizungumza kuwapinga vikali GAYS katika talkshow,campaign iliyofuata dhidi yake ikamuondoa katika game-kuona mambo yanaenda vibaya na against principle zake akaomba msamaha but he was a shade to late,the rest is history-he never recovered
- Right on the money, Shaba aliharibu sana na bashing Gays, na hasa pale alipotoa album moja nasty sana kuhusu Gays, tena ulikuwa ndio wakati alikuwa chat kiasi kila Rapper wa US alikuwa anajitahidi kutoa naye album, tayari alishaandika wimbo na Queen Latifa, Sister Soldier, na kina Monie in the middle, na all this ilikuwa affordable kwa kusaidiiwa na The Holywood's bigs, ambao aliwaudhi sana na hiyo album against Gays, ukawa ndio mwanzo na mwisho,
- Last Sunday, nilikuwa kwenye cookout moja ya Jamaicans entertainers flani hivi, nikawauliza Ranks yupo wapi, maana walikuwa wanapiga sana vitu vyake pale, wakaniambia yupo kwao huko ana hela nyingi sana na bado anapiga local, lakini nchi nyingi za Europe zikiongozwa na UK, zilimpiga marukufu kwenda huko na huwa hawapendi hata kusikia tena muziki wake, na US hawawezi hata kumpa Viza, kwa hiyo yuko grounded kwao, wakaniambia kwamba huko kwao mambo ya mashoga ni very serious wananchi hawayataki na it makes a hero kwa mtu kama Ranks kuwatwanga kwenye muzik kwa hiyo labda jamaa alichagua local over Global.
Respect.
FMEs!
CaribWorldNews, NEW YORK, NY, Mon. May 4, 2009: International reggae stars Buju Banton and Shabba Ranks are set to take over the Madison Square Garden in New York this weekend.
The two are set to perform at a Mother's Day concert on Sunday May 6th from 8 p.m. Banton and his Shiloh Band are being touted to electrify Madison Square Garden with blazing dancehall cuts from the Grammy-nominated new album `Too Bad,` as well as older classics and roots selections from his critically acclaimed early collections `Mr. Mention,` 'Til Shiloh,` `Inna Heights,` `Unchained Spirit` and `Friends For Life.`
The event will also feature performances from DJ Tony Matterhorn of the `Dutty Wine` phenomenon
battyboys au gays wanapingwa sana jamaica,ma artist wengi tu wa jamaica wanaeneza chuki kubwa dhidi ya watu wa jinsia hii,bahati mbaya huyu shabba ranks makampuni ya muziki ya kamboycott baada ya gays kuanzisha campaign kubwa dhidi yake ili iwe mfano
Hii imekaaje...?
wakaniambia yupo kwao huko ana hela nyingi sana na bado anapiga local, lakini nchi nyingi za Europe zikiongozwa na UK, zilimpiga marukufu kwenda huko na huwa hawapendi hata kusikia tena muziki wake, na US hawawezi hata kumpa Viza, kwa hiyo yuko grounded kwao,
- Au hiki kiswahili hakikukaa sawa? Bwa! ha! ha sio rahisi kubadilika spirit, ingawa ni rahisi sana kubadili mengine!
FMEs!
In 1992, during an appearance on Channel Four music show The Word, he defended Buju Banton's "Boom Bye Bye" and advocated crucifixion of homosexuals, and was subsequently condemned for his comments by presenter Mark Lamarr who said Shabba was "talking crap". Anti-homosexual lyrics are present in a number of Shabba Ranks songs, including "No Mama Man" and "Wicked inna Bed". There was also a paternity lawsuit in Jamaica for the man who recorded Best Baby Father.
Mimi nimeuliza hapo kwenye nyekundu kuwa US haiwezi kumpa visa, isitoshe kwenye Wikipedia(ingawa sio credible source) page ya Shabba Ranks wanasema anakaa New York
- Right on the money, Shaba aliharibu sana na bashing Gays, na hasa pale alipotoa album moja nasty sana kuhusu Gays, tena ulikuwa ndio wakati alikuwa chat kiasi kila Rapper wa US alikuwa anajitahidi kutoa naye album, tayari alishaandika wimbo na Queen Latifa, Sister Soldier, na kina Monie in the middle, na all this ilikuwa affordable kwa kusaidiiwa na The Holywood's bigs, ambao aliwaudhi sana na hiyo album against Gays, ukawa ndio mwanzo na mwisho,
- Last Sunday, nilikuwa kwenye cookout moja ya Jamaicans entertainers flani hivi, nikawauliza Ranks yupo wapi, maana walikuwa wanapiga sana vitu vyake pale, wakaniambia yupo kwao huko ana hela nyingi sana na bado anapiga local, lakini nchi nyingi za Europe zikiongozwa na UK, zilimpiga marukufu kwenda huko na huwa hawapendi hata kusikia tena muziki wake, na US hawawezi hata kumpa Viza, kwa hiyo yuko grounded kwao, wakaniambia kwamba huko kwao mambo ya mashoga ni very serious wananchi hawayataki na it makes a hero kwa mtu kama Ranks kuwatwanga kwenye muzik kwa hiyo labda jamaa alichagua local over Global.
Respect.
FMEs!
Mimi nimeuliza hapo kwenye nyekundu kuwa US haiwezi kumpa visa, isitoshe kwenye Wikipedia(ingawa sio credible source) page ya Shabba Ranks wanasema anakaa New York
wakuu mie niliiona majuzi nikasema huyu jamaa anafikiri anawaambia wanawe....yaani ilikuwa fix tupu..bwahahahahamzee ulitaka kutuuzia mbuzi kwenye gunia?....hahahaha!
- Last Sunday, nilikuwa kwenye cookout moja ya Jamaicans entertainers flani hivi, nikawauliza Ranks yupo wapi, maana walikuwa wanapiga sana vitu vyake pale, wakaniambia yupo kwao huko ana hela nyingi sana na bado anapiga local, lakini nchi nyingi za Europe zikiongozwa na UK, zilimpiga marukufu kwenda huko na huwa hawapendi hata kusikia tena muziki wake, na US hawawezi hata kumpa Viza, kwa hiyo yuko grounded kwao, wakaniambia kwamba huko kwao mambo ya mashoga ni very serious wananchi hawayataki na it makes a hero kwa mtu kama Ranks kuwatwanga kwenye muzik kwa hiyo labda jamaa alichagua local over Global.
Respect.
FMEs!
wakuu mie niliiona majuzi nikasema huyu jamaa anafikiri anawaambia wanawe....yaani ilikuwa fix tupu..bwahahahaha
huwezi kuja na fiksi kama hizi bila ya kuzifanyia utafiti you premium member......