Mnamkumbuka Shaba Ranks?

wakuu mie niliiona majuzi nikasema huyu jamaa anafikiri anawaambia wanawe....yaani ilikuwa fix tupu..bwahahahaha



huwezi kuja na fiksi kama hizi bila ya kuzifanyia utafiti you premium member......


Ohoooooooo be careful guyz!! he may happen to know you, your mom, your dad, your IDs and passwords, you auntie, uncle, ex-girlfriend, what you wear (under), the colour of your favorite dinning plate etc. and all you relatives and friends subscribed to JF

...dont say you havent been warned by ....DadπŸ˜•
 
Last edited:
bwahahahahaha awatishe wengine sie mie..... yeye aje na data za familia ya melecela ambazo hatuzijui na hazina maslahi kwa taifa.....
 
bwahahahahaha awatishe wengine sie mie..... yeye aje na data za familia ya melecela ambazo hatuzijui na hazina maslahi kwa taifa.....

- Malecela sasa hivi yuko njiani kwenda UK, na US, baadye atarudi Paris, masilahi ya taifa sio kutokula nyama maana ngombe wasipouzwa uchumi utashuka, Bwa! ha! ha! ha! na atakuwepo Biharamulo!

Respect.

FMEs!
 

- Miaka 65 akili ya 15 years old, masikini ya Mungu na kulala JF maana usingizi hamna tena at that age, ID karibu 50 andika na kujijibu, kila kona andika na kujuijibu, mama yuko kazini usiku BWa! ah! ah! wafwa kazi kutujazia threads tu JF na kutafuta confrontation! BWa! ha! maaana it keesp us going ili usiku ukuche haraka pole sana, saaa ya kazi sasa later!

FMEs!
 
- Malecela sasa hivi yuko njiani kwenda UK, na US, baadye atarudi Paris, masilahi ya taifa sio kutokula nyama maana ngombe wasipouzwa uchumi utashuka, Bwa! ha! ha! ha! na atakuwepo Biharamulo!

Respect.

FMEs!
bwahahahahahahaha........mwaka wa mwisho wa tingatinga
hata kama umeambiwa fanya utafiti kwanza sio kuja kutujazia fix za jamaa wako huko kwenye bar......
 
Namkumbuka sana huyu jamaa, alikuwa anafoka sanaaa...sanaaa.....
Kipindi hicho nakumbuka nilikuwa secondary, nilikuwa nakula mangoma yake ile mbaya......
Namfagilia sana...
 
Bwana Ranks ambaye ndo original Mr Loverman ( na siyo Shaggy kama ajikwezavyo).
Kwa sasa bado yupo kwenye muziki, ila ile kalikiti alishaindoa!
Kwa wale bado wenye kiu na Shabba; Shabba Ranks Homepage

Choveki,

Mr LOVERMAN OROGINAL au tuseme Namba one alikuwa mzee wa Sauti Nzito yaani MAREHEMU BARRY WHITE.

Haya ni baadhi ya majina ambayo ameshawahi kupachikwa "Walrus of Love, the original housewives lover man (circa 1975).

Kama sikosei, hili jina alipewa wakati akiishi UK miaka ya 70. Miaka ya 90 alipokwenda UK, waandishi wa habari walimchokoza kwa kumsalimia "How are you Mr Loverman?". Nasikia alichukua ndogondogo bila kusema neno kwani miaka ya 90 tayari alishakuwa big Man na mihela yake/heshima.
 

Oooopp!! Now my age is out... dont know how to react, OMG i am revealed, MTM is unmasked... mayo neneeeeeee, Agwe the unveiller huhuhuuuuuuu

Now Yoyo, you see!!??? I warned about The field Masho wa sauti ya umeme wa betri za mbao kwamba anajua kila kitu, si unaona sasa... anajua hata mke wa mtu wa 65 years old bado kaajiriwa na nafanya night shift in Dar!! this guy is briliant and mnajimu, i can take a mickey out of this sheikh

Typical psychogenic condition with lots of haluscinations and vivid paranoia... at least he is not imbecile

Yoyo... please send a rescue boat as this guys knows my 50 IDs

Dad revealedπŸ˜•
 
Last edited:
Duh! Ndo waongo wakikatwa hufanya hivi?!!


Ohooooooo be careful!!! Bwihihiiiiiiiiiii hihii you may be revealed in a minute!! FYI, hata kumkoma nyani ilianzia JF na hata wale mababu zetu walipoitumia enzi hizo walikopi kwa sauti ya betri za mbao
 
Hao Gays wana nini mpaka wamsababishie madhara jamaa kwenye gemu? Mimi naona kuna sababu nyingine hasa nikiangalia siku za hivi karibuni kwa Michael Jackson wa Marekani. Unajua alianza kuandamwa na kashfa mfululizo kutokana na kukorofishana na bosi wa SONY Entertainment Tommy Motola jamaa inasemekana ni Mafioso akamitight Michael kwenye Vice mpaka sasa hivi jamaa anaonekana kaa amefulia. Mwengine ni Prince ambaye naye aliamua kutoa albamu isiyokuwa na jina wala jina lake la kisanii. Mambo ya Mashoga wengi wanapiga vita hata huko states na hayana impact yoyote katika maisha ya mtu kimuziki ama kisanii. Kwa hiyo kuporomoka kwa Shaba Ranks kwaweza kuwa kumesababishwa na kitu kingine. Mr Buju aliimba wimbo wa "Boom Bwai Bwai" kuwakandia mashoga kipindi hicho hicho cha Shaba Ranks. Vipi kuhusu CHAKA DEMUS na PLIERS?
 

This post was validated by the response from the subject.... fortunately!!
 
Ohooooooo be careful!!! Bwihihiiiiiiiiiii hihii you may be revealed in a minute!! FYI, hata kumkoma nyani ilianzia JF na hata wale mababu zetu walipoitumia enzi hizo walikopi kwa sauti ya betri za mbao

hahahaha! Anijue mimi ni nani? Hata siku moja. Ntampa hela! Waongo bwana...wanakuja na misifa na kujifanya wajuaji, hoja sifuri. Alafu wako wengi humu ndani! Kisa wamekuwa premier members!...hahahaha
 
Shaba Ranks Soko lake lilipotea pale alipo walani Gay people na ikawa ndio mwanzo na mwisho wa Rekodi campuni kumdhamini.
 
kwa mtaji huu na mnachozungumza basi dunia imekwisha. inaonyesha kuna uwiano kati ya mashoga na watu kamili, ila mashoga wana nguvu zaidi. ila nataka nikubaliane na Mugabe hapo juu kwani hata Tyson kaporomoka na si sababu ya mashoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…