Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,201
- 236
"Wakaniambia"
Bado strong!
Respect.
FMEs!
Shaba Ranks Soko lake lilipotea pale alipo walani Gay people na ikawa ndio mwanzo na mwisho wa Rekodi campuni kumdhamini.
hahahaha! Anijue mimi ni nani? Hata siku moja. Ntampa hela! Waongo bwana...wanakuja na misifa na kujifanya wajuaji, hoja sifuri. Alafu wako wengi humu ndani! Kisa wamekuwa premier members!...hahahaha
- Mwanaume mtumzima anaitwa mtoto? Mbona makubwa haya mkuu mimi sio mtu wa Mombasa maana wao ndio wanaweza kukujua ati! Bwa! ha! ha! mtotooo! duh! tende hizo na halua halua mwanangu Bwa! ha! ha! ha!
Respect.
FMEs!
All in all.... shabba is a legend na nina hakika hata leo akiipua kitu bado kitatesa sana clubs za wanyamwezi na wakalamba
.....
...naaaaaam, kitu kama hiki cha 2007;
weka wewe uone!! utaambiwa unajaza tu server na nonsense!!!lol mbona hueleweki na mapicha hayo?
Maan!! there was one LP "the twice my age showcase" jamaa alipiga misumari tupu kwa kwenda mbele!! SIku hizi kuna vijamaa vingi lakini ka-fleva ka buju na shabba bado