Baba Dayana
Senior Member
- Jul 1, 2016
- 144
- 330
Sijaelewaaa wakuu mujustify basiiiiMnamo 2018, Elon Musk alizindua Tesla Roadster yake angani.
Hakuandika chochote kama "Made in America" au "Made by Tesla."
Aliandika kwa urahisi, "Made on Earth by humans."
Mmmmh asa wataelewajeee kingerezaaa dadeekiUlimwenguni kuna viumbe vingine zaidi ya sisi wanadamu ambao tunaishi katika sayari ya dunia. Hivyo viumbe vingine wana maarifa, weledi, akili na werevu zaidi ya sisi wanadamu duniani.
Elon alichofanya ni acknowledgement.
wanatuchanganya hawa😂😂Mmmmh asa wataelewajeee kingerezaaa dadeeki
DUnia inakwenda kasi kweliMnamo 2018, Elon Musk alizindua Tesla Roadster yake angani.
Hakuandika chochote kama "Made in America" au "Made by Tesla."
Aliandika kwa urahisi, "Made on Earth by humans."