Hussein Massanza
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 1,016
- 2,195
Yanga BWatu wa Soka,
Tumefanikiwa kuinasa saini ya Beki Imara kutoka Klabu ya Yanga, Yassin Mustapha Salum.
Atakuwa nasi kwa mkataba wa miaka miwili kuanzia msimu ujao wa Ligi Kuu ya NBC.
Beki wa maana sana huyu!
View attachment 2295199!
Jezi kali hasa hiyo blue na nyeupe. Iko [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Sio bongo flavour hioTunahitaji majina mapya sio hawa wa kila siku.
Jezi zote kali! Hiyo ya kijani umeipotezea kwa sababu zako tu binafsi.Jezi kali hasa hiyo blue na nyeupe. Iko [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Usajili mzuri. Ukiona mchezaji amepita kwenye klabu kubwa na kongwe kama Yanga, basi ujue amekamilika!Watu wa Soka,
Tumefanikiwa kuinasa saini ya Beki Imara kutoka Klabu ya Yanga, Yassin Mustapha Salum.
Atakuwa nasi kwa mkataba wa miaka miwili kuanzia msimu ujao wa Ligi Kuu ya NBC.
Beki wa maana sana huyu!
View attachment 2295199!
Singida Big Stars nyie mtatisha sana. Hongereni sana. Usajili wenu uko safi sana.
Bado msimuache na Ndemla mimi ni Yanga ila namkubali sana jamaa anaweza mpira na ni kijana ana pumzi.
Vp kuhusu Ninja na huyu beki wa kati wa Yanga mzenji? Vipi Salum Kihimbwa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna nimesema ni kali, ila blue na nyeupe imezidi ukali.Jezi zote kali! Hiyo ya kijani umeipotezea kwa sababu zako tu binafsi.