Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Acha kupiga nyeto na kuangalia pono. Hakikisha haumwagi mbegu zako. Baada ya miezi mitatu utabadilika kuanzia ngozi na mtazamo. Wataanza kujiletela maana Hormone zako za testerone zitaanza kupanda. Kila siku inabidi uhakikishe unaaamka saa 05:00 am na unakimbia ukirudi ghetto unaoga maji ya baridi. Hakikisha una ratiba maalumu ya kulala na kuamka na hauibadilishi. Komaa na kazi unayoifanya ukipata muda free jifunze kitu kipya kama ni ufundi au taaluma yeyote. Nakutakia safari njema ya kuyabadilisha maisha yako ndugu yangu.Wakuu ni mwaka wa nne Sasa Sina hata girl friend nilikua nae wakuzugia tangu nilipo kua na miaka 23 Hadi Sasa Nipo bila bila yaani sielewi. Japo walikuwepo walio nishawishi hapo katika japo mm ule uwoga wa maisha na kuona Sina cha kuwapa magonjwa pia unyumbani nikawa naona Jau. Pia nilipita ugenini sio hapa napo kaa Sasa ila pale nilikaa Kwa mdaa mfupi na maokoto yalikuwepo kimtindo ila nilihama. Sasa hapa nilipo Kwa Sasa Kwa miezi niliokaa napata pesa Ya kunitosha mm mwenyewe tu Kila nikifikiri kutafuta mwenza na nikiangalia maokoto yalivyo nakata tamaa ukichanganya na stori za wanawake wenyewe wanakuambia pesa mbele Sasa Mimi naishia kukata tamaa. Je niendelee kujitafuta au ni force maana umri nao unanitupa mkono aisee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tafuta baby muuza mgahawa. Unakula free food unasave hela ya chakula ili uje umpe aone unamhudumia
Hahaa watu wamekuwa wanyamawanafunga pm balaa kuna nini depoo?🤣
Mkuu, watakupopoa sana ila sikia hili. Mademu wenye akili, na wasio ombaomba wapo, shida yao sio wazuri. Nadhani huwa wako vile ili wapate wa kuwastiri. Unachokisema hata mimi kimewahi nikuta. Kuna muda sikua na demu na maokoto sina. Nikawa bize na mishe zangu tu, nikaanza kunyanyuka kiuchumi. Kuna dem mzuri wa kawaida nikamtupia voko, akanijibu "kama nitaweza kumhudumia no problem "nilichoka bikasema natafuta mke tujenge mji sio mla pesa bila faida wala malengo.Wakuu ni mwaka wa nne Sasa Sina hata girl friend nilikua nae wakuzugia tangu nilipo kua na miaka 23 Hadi Sasa Nipo bila bila yaani sielewi. Japo walikuwepo walio nishawishi hapo katika japo mm ule uwoga wa maisha na kuona Sina cha kuwapa magonjwa pia unyumbani nikawa naona Jau. Pia nilipita ugenini sio hapa napo kaa Sasa ila pale nilikaa Kwa mdaa mfupi na maokoto yalikuwepo kimtindo ila nilihama. Sasa hapa nilipo Kwa Sasa Kwa miezi niliokaa napata pesa Ya kunitosha mm mwenyewe tu Kila nikifikiri kutafuta mwenza na nikiangalia maokoto yalivyo nakata tamaa ukichanganya na stori za wanawake wenyewe wanakuambia pesa mbele Sasa Mimi naishia kukata tamaa. Je niendelee kujitafuta au ni force maana umri nao unanitupa mkono aisee.
Swali zuri mkuu. Kama anataka demu atafute maokoto ila kama anataka mke hao wapo ila sura ya baba umbo la mjombaKwani unataka Demu au Mke?
Weeee tupo makini siku hiziTafuta baby muuza mgahawa. Unakula free food unasave hela ya chakula ili uje umpe aone unamhudumia
Subiria kwanza huku pagumu kijana usije kama hujajipanga, tuliopo tunajuta... Kaa hivyo hivyo tu kwani shingapi mbona Isaac Newton alikufa bikra 😎🤭Wakuu ni mwaka wa nne Sasa Sina hata girl friend nilikua nae wakuzugia tangu nilipo kuwa na miaka 23 hadi Sasa nipo bila bila yaani sielewi.
Japo walikuwepo walio nishawishi hapo katika japo mimi ule uwoga wa maisha na kuona Sina cha kuwapa magonjwa pia unyumbani nikawa naona Jau.
Pia nilipita ugenini sio hapa napo kaa Sasa ila pale nilikaa Kwa mdaa mfupi na maokoto yalikuwepo kimtindo ila nilihama.
Sasa hapa nilipo Kwa Sasa Kwa miezi niliokaa napata pesa Ya kunitosha mm mwenyewe tu Kila nikifikiri kutafuta mwenza na nikiangalia maokoto yalivyo nakata tamaa ukichanganya na stori za wanawake wenyewe wanakuambia pesa mbele sasa Mimi naishia kukata tamaa. Je niendelee kujitafuta au ni force maana umri nao unanitupa mkono aisee.
Depal ebu msaidie huyu kijana aseee hata kwa wiki ukampe kumbatio la kinafiki[emoji1787][emoji1787]Hivi ni kweli hamna wasiopenda hela kama hawa wa JF? [emoji23]
Angalia angalia bana, hawawezi kosekana
Huo ni zaid ya ujangili bila silahaTafuta baby muuza mgahawa. Unakula free food unasave hela ya chakula ili uje umpe aone unamhudumia
Force maisha usiforce mapenziWakuu ni mwaka wa nne Sasa Sina hata girl friend nilikua nae wakuzugia tangu nilipo kuwa na miaka 23 hadi Sasa nipo bila bila yaani sielewi.
Japo walikuwepo walio nishawishi hapo katika japo mimi ule uwoga wa maisha na kuona Sina cha kuwapa magonjwa pia unyumbani nikawa naona Jau.
Pia nilipita ugenini sio hapa napo kaa Sasa ila pale nilikaa Kwa mdaa mfupi na maokoto yalikuwepo kimtindo ila nilihama.
Sasa hapa nilipo Kwa Sasa Kwa miezi niliokaa napata pesa Ya kunitosha mm mwenyewe tu Kila nikifikiri kutafuta mwenza na nikiangalia maokoto yalivyo nakata tamaa ukichanganya na stori za wanawake wenyewe wanakuambia pesa mbele sasa Mimi naishia kukata tamaa. Je niendelee kujitafuta au ni force maana umri nao unanitupa mkono aisee.
Unagusa za kimasihara na zakuombaomba sema Sasa sipo mazingira Yale.Unataka kusema una miaka minne haujagusa papuchi
Naona umri unaenda mkuu sema Nini pesa ni majaliwa tu.Tafuta pesa dogo achana na mademu
Tafuta maisha aiseee.....Umri haujakutupa mkono hata kidogo.Je niendelee kujitafuta au ni force maana umri nao unanitupa mkono aisee.
Shukrani mkuu sema hata pisi Kali huwa inatokea zinamuelewa mtu ila Sasa mifumo na pigo zao ndio changamoto utakuta pisi Kali imekuelewa ila ni barmaid nyingine inatakaa uipe pesa hata kama ni kidogo hiyo nyingine inatakaa uje uioe na hauionji Ina gawa kwingine ila wewe inakukazia inadai mbaka muoane. Nyingine inatakaa uizalishe.Mkuu, watakupopoa sana ila sikia hili. Mademu wenye akili, na wasio ombaomba wapo, shida yao sio wazuri. Nadhani huwa wako vile ili wapate wa kuwastiri. Unachokisema hata mimi kimewahi nikuta. Kuna muda sikua na demu na maokoto sina. Nikawa bize na mishe zangu tu, nikaanza kunyanyuka kiuchumi. Kuna dem mzuri wa kawaida nikamtupia voko, akanijibu "kama nitaweza kumhudumia no problem "nilichoka bikasema natafuta mke tujenge mji sio mla pesa bila faida wala malengo.
Nikaachana na wanawake tena nikajikeep na mishe zangu. Sasa muda wote huo kuna vibinti viwili vilikua vinanilia rada, yaani mimi tu ndio nazingu sivitaki. Kimoja kutoka uchagani, moshi moja na kingine moro moja. Shida yao wote yaani kila nikiwaangalia sioni cha maana wanacho ishawishi nacho. Yaana hawana muonekano kabisa. Kuna muda hadi unajiuliza hivi hawa hata nikiwa na mahusiano nao hata kumtambulisha kwa mtu si nitaona aibu. Ila sasa hao wasio na mionekano ndio wife material, hawa wenye mashep yao wameamua kutafuta pesa kutokana na walivyo.
Kwahio mkuu mademu wasio na makuu wapo ila hawana muonekano. Mademu wengi wenye muonekano wameamua kutumia muonekano wao kujikwamua kiuchumi, so kama huna maokoto huwapati. Kazi kwako kuchagua, ubebe asie na muonekano ambae sio ombaomba au ijitafute uje uwe na pisi kali. Zingatia umri sio mjomba ako.
Sawa mkuu nalifanyia kazi.Tafuta maisha aiseee.....Umri haujakutupa mkono hata kidogo.