Mnao Copy Nyuzi zangu na kupeleka Twitter na YouTube Mjue nami nipo huko basi toeni Credit Mnachanganya watu

Mnao Copy Nyuzi zangu na kupeleka Twitter na YouTube Mjue nami nipo huko basi toeni Credit Mnachanganya watu

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Kuna Nyuzi zangu Kama nne nimeona watu kama sita wana copy na kutumia,

1.Nilileta ule wa MOSCOW na DR SHIKA watu wakaenda kuifanya Simulizi YouTube wakapata Viewes bila hata kuni acknowledge,..



2. Nikaleta Uzi wa ni Siri gani umeficha Ficha nimeona unatrend sehemu

3.Uzi mwingine nikasikia Loveness love wa Ala za Roho anatumia Jamani dah toeni credit

4. Wa Hadara za Vita ya Urusi na UKRAINE pia Jamaa Telegram karuka nao duh


Sasa Huu wa Ushauri Kwa Makonda nasikia Jamaa anajiita BUYOBE nao karuka nao

Alafu watu wanakuja kusema mi ni Buyobe Au nimekopi kwake!

Nikamsaka Buyobe nikagundua kauandika Masaa 9 yaliyopita wakati mimi nimeuandika Masaa 14 yaliyopita watu hata hapo hamtofautishi??

Toeni acknowledgment

FA3F28F5-C5E0-4164-84AF-B25F0D0A8A5F.jpeg



Nimemfuata hata DM


52B57ECF-6E61-4044-AB8A-CB1679F39040.jpeg


KANITANDIKA BLOCK NA UZI KAUFUTA JAPO KASHAPIGA PESA TELEGRAM
E1B2030E-F4A2-42FD-93CF-5105D780AA57.png
 
Hapo sawa...Mana Mimi nimeusoma twita Kwa BUYOBE..naingia jf naona na wewe umeandika kila kitu kinafanana Hadi nukta...nikajua may be wewe ndo umecopy Mana nilianzia twita
 
Hapo sawa...Mana Mimi nimeusoma twita Kwa BUYOBE..naingia jf naona na wewe umeandika kila kitu kinafanana Hadi nukta...nikajua may be wewe ndo umecopy Mana nilianzia twita
Ungeangalia wapi pa kwanza Ku post, alafu nasikia katiwa mkwara na Bashite kafuta hahaha
 
Safi maana mnatuchanganya, Buyobe Ana group Telegram watu wanachangia pesa kusoma nyuzi, Sio vibaya lakini mpeani Acknowledgement kiungwana
Buyobe yeye akikopiwa nyuzi zake mkali kinoma😀😀😀ila za wenzake anachukua
 
Kuna Nyuzi zangu Kama nne nimeona watu kama sita wana copy na kutumia,

1.Nilileta ule wa MOSCOW na DR SHIKA watu wakaenda kuifanya Simulizi YouTube wakapata Viewes bila hata kuni acknowledge,..

2. Nikaleta Uzi wa ni Siri gani umeficha Ficha nimeona unatrend sehemu

3.Uzi mwingine nikasikia Loveness love wa Ala za Roho anatumia Jamani dah toeni credit

4. Wa Hadara za Vita ya Urusi na UKRAINE pia Jamaa Telegram karuka nao duh


Sasa Huu wa Ushauri Kwa Makonda nasikia Jamaa anajiita BUYOBE nao karuka nao

Alafu watu wanakuja kusema mi ni Buyobe Au nimekopi kwake!

Nikamsaka Buyobe nikagundua kauandika Masaa 9 yaliyopita wakati mimi nimeuandika Masaa 14 yaliyopita watu hata hapo hamtofautishi??

Toeni acknowledgment

View attachment 2184928


Nimemfuata hata DM


View attachment 2184929
huyo buyobe ndo zake, anacopy kazi za watu huku anapeleka hukoo
 
Huyu buyobe amecopy uzi wa yoga kama ulivyo huko twiter na kujinasibu kuwa ni wake na huku ulianzia humu kabla hata yeye hujaanza kupost
 
Buyobe ni kiazi mbatata sana huyo jamaa.
Ni vile anawatumia sana wale wasioijua ama kujiunga jf, anawaokota kinoma huko twitani.
 
Taaluma zina miiko "ETHICS".. ukiona mtu anacopy na kupest bila kufanya acknowledgement, huna haja ya kujiuliza kuhusu taaluma yake au maarifa aliyonayo kwenye eneo husika....

Kuna siku mtu atajiletea majanga kwa kucopy content ambazo zina hatimiliki
 
Mimi zangu kibao.zilisha kopiwa magazetini na bungeni mbunge anasimama anaongea A to Z ya nilichoandika humu


Sijali at least wawe wana acknowledge kuwa hizo habari zimetoka mtandao wa jamiiforums Nadhani watakuwa wameitendea haki Jamiiforums kama chombo cha habari
 
Back
Top Bottom