ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,938
- 6,942
Wana bodi
Moja ya sababu kwa nini Tanzania hatufanyi vizuri kimataifa, ni kukosa uwekezaji makini kwenye vilabu vyetu halafu kutegemea kuhonga na uchawi kuendesha masuala ya mpira.
Niwapongeze Simba Sc kukubali mabadiliko na kuamua kukabidhi timu, na hii imewasaidia, maana kwa sasa mashabiki wa simba kwa timu za ndani, wanaingia kwa wingi maana ushindi kwao ni lazima, siyo bahati.
Nakumbuka Yanga iliitisha mkutano mkuu kwa ajili ya kurekebisha katiba, lkn mkutano huo umeshindikana baada ya watu kupeleka kesi mahakamani.
Naamini wanaozuia mchakato huo ni aidha ni mashabik wa simba hivyo wanapambana kuhakikisha Yanga haimpi simba upinzani au wanawaza matumbo yao jambo ambalo limepelekea mashabiki wa Yanga kuyokuwa na confidence juu ya timu yao. Suala hili ni dhahiri, maana hata uingiaji uwanjani, simba wanaingia zaidi huku Yanga tukiogopa.
Mnaozuia mabadiliko ndani ya Yanga, mnakwamisha maendeleo ya timu, na mnakwamisha maendeleo ya taifa kimchezo. Bora mkufe mtuachie timu yetu kwa kweli.
Badilikeni, tuleteeni furaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Moja ya sababu kwa nini Tanzania hatufanyi vizuri kimataifa, ni kukosa uwekezaji makini kwenye vilabu vyetu halafu kutegemea kuhonga na uchawi kuendesha masuala ya mpira.
Niwapongeze Simba Sc kukubali mabadiliko na kuamua kukabidhi timu, na hii imewasaidia, maana kwa sasa mashabiki wa simba kwa timu za ndani, wanaingia kwa wingi maana ushindi kwao ni lazima, siyo bahati.
Nakumbuka Yanga iliitisha mkutano mkuu kwa ajili ya kurekebisha katiba, lkn mkutano huo umeshindikana baada ya watu kupeleka kesi mahakamani.
Naamini wanaozuia mchakato huo ni aidha ni mashabik wa simba hivyo wanapambana kuhakikisha Yanga haimpi simba upinzani au wanawaza matumbo yao jambo ambalo limepelekea mashabiki wa Yanga kuyokuwa na confidence juu ya timu yao. Suala hili ni dhahiri, maana hata uingiaji uwanjani, simba wanaingia zaidi huku Yanga tukiogopa.
Mnaozuia mabadiliko ndani ya Yanga, mnakwamisha maendeleo ya timu, na mnakwamisha maendeleo ya taifa kimchezo. Bora mkufe mtuachie timu yetu kwa kweli.
Badilikeni, tuleteeni furaha
Sent using Jamii Forums mobile app