Mnaoanzisha thread na kuwaita watz wenzenu wajinga mnajitambua kweli?

Mnaoanzisha thread na kuwaita watz wenzenu wajinga mnajitambua kweli?

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Mara nyingi mtu akipata Mafanikio kidogo tu anaanza dharau na kuwaona ambao hawajafanikiwa kuwa ni wajinga

Kwanza vijana wa Tz wanapambana sana sema sera Mbovu ndo zinawarudisha nyuma .

Mtu anaishi Maisha yake hajakuomba chakula wala unga then unamuita Mjinga huu Ni upuuzi .

Mtu unasikia anawaambia eti nendeni vijijini mkalime wakati wengine tumezaliwa Mjini na hapa Mjini ndo kijijini kwetu

Upuuzi Flani unaboa sana .

sisi vijana most of them tumejiajiri na tunatunza Familiya zetu lakini Mkiamka huko mnaanza ohoo mara vijana wavivu mara wajinga mara wapumbavu so this is shit honest.
 
Sasa kwani sisi watanzania tumekuwa na akili timamu lini!?
Hao hao wenye sera mbovu zinazotukwamisha si ndio tunawachekea wanakuwepo madarakani, tunaambiwa tuvuke feri kwa kuogelea, tuhamie burundi, sisi hatuchimbi mafuta, marekanj mafuta yapo juu kuliko sisi, bilioni 4 mwingine akaita ya kwende sokoni, mwingine vichenji tu.

Unadhani tungekuwa timamu tungeambiwa hayo, achana na hao dagaa wanaokupigia kelele, twende kwa mapapa wanaoturudisha nyuma katika harakati zetu, hapo ndio ujinga wa kweli tutakuwa tumeufuta.
 
Sasa kwani sisi watanzania tumekuwa na akili timamu lini!?
Hao hao wenye sera mbovu zinazotukwamisha si ndio tunawachekea wanakuwepo madarakani, tunaambiwa tuvuke feri kwa kuogelea, tuhamie burundi, sisi hatuchimbi mafuta, marekanj mafuta yapo juu kuliko sisi, bilioni 4 mwingine akaita ya kwende sokoni, mwingine vichenji tu.

Unadhani tungekuwa timamu tungeambiwa hayo, achana na hao dagaa wanaokupigia kelele, twende kwa mapapa wanaoturudisha nyuma katika harakati zetu, hapo ndio ujinga wa kweli tutakuwa tumeufuta.
Ndiyo maana wanajitahidi kuleta sera mbovu za Kiuchumi, kielimu Ili waweze kututawala vizuri ,.

Si unajua Elimu ikiwa duni plus lishe /uchumi ni vigumu Sana kujitambua.

Wajinga sisi Tunaishi kama wapangaji au watumwa kwenye nchi yetu.



Wa
 
Mara nyingi mtu akipata Mafanikio kidogo tu anaanza dharau na kuwaona ambao hawajafanikiwa kuwa ni wajinga

Kwanza vijana wa Tz wanapambana sana sema sera Mbovu ndo zinawarudisha nyuma .

Mtu anaishi Maisha yake hajakuomba chakula wala unga then unamuita Mjinga huu Ni upuuzi .

Mtu unasikia anawaambia eti nendeni vijijini mkalime wakati wengine tumezaliwa Mjini na hapa Mjini ndo kijijini kwetu

Upuuzi Flani unaboa sana .

sisi vijana most of them tumejiajiri na tunatunza Familiya zetu lakini Mkiamka huko mnaanza ohoo mara vijana wavivu mara wajinga mara wapumbavu so this is shit honest.
Sasa jiulize, juzi tu mlikutwa na wapiga picha mnaandamana mtaani kuunga mkono sinema ya 'Royal Tour,' hivi inakusaidia nini wewe hiyo sinema? Yaani ulikuwa hauna cha kufanya hiyo siku kweli? Au jiulize unarudi nyumbani mkeo anakuuliza ulikuwa wapi unamwambia nilikuwa napiga kelele mitaani huko mjini kushawishi watanzania wakaangalie sinema, unafikiri atakuhisi vipi?
 
Back
Top Bottom