Mnaobashiri kwa njia ya mtandao ktk kampuni ya Premier kuweni makini sana

Mnaobashiri kwa njia ya mtandao ktk kampuni ya Premier kuweni makini sana

IQup

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2018
Posts
1,166
Reaction score
1,808
Ndugu mnaobeti au kubashiri kwa njia ya mtandao ktk kampuni ya Premier kuweni makini sana, binafsi nilikuwa naweka (deposit) pesa kwa kutumia airtel money ktk akaunti yangu nikaweka pesa mara 5, kila nikiweka pesa napata ujumbe kwenye simu kuthibitishiwa kuwa nimeweka pesa, nimekwenda katika akaunti mtandaoni nione salio limekuwa ngapi ili nibeti,

Sijaona salio lolote lililowekwa. kumbeni njia hii ya kuweka pesa kwa njia ya airtel money ni ya hivi karibuni kwao na wanaitangaza sana kuwa weka pesa kwa njia ya airtel money. Baada ya kuona sioni salio, basi nikawasiliana na huduma kwa wateja mara kadhaa lakini hawana ufafanuzi wa kukurudishia pesa wao wanadai upige screen shot za meseji, kwakuwa meseji nilifuta basi nikawaomba airtel, airtel wanasema mbona pesa zote zimeingia premier basi waulize vizuri, nikaamua kuwaaomba transaction Id ya meseji zote, wamenipatia, nawatumia premier ili waweke pesa yangu ktk akaunti hawataki wanazungusha tu wakitaka screenshop za meseji.

NAWAANDIKIENI HAPA ILI MUWE MAKINI NAO HAWA PREMIER BET MTANDAO WA KUBETI WANAIBA PESA JIHADHARINI SANA, imepita wiki sasa hawataki kunirudishia pesa yangu, yaani pesa naweka ktk akaunti yangu wao wanachukua juu kwa juu haiingii kwenye akaunti, HAWA NI WEZI WA MTANDAONI, KUWENI MAKINI.
 
ulianzaje kutumia premier bet mkuu.?

hao ni matakataka..

tatizo sio pesa kutofika ,kuna kampuni nyingi tu za betting ambazo pesa zinachelewa/zinasumbua kufika, tatizo ni Huduma kwa wateja..

kwanza shukuru mungu wanakuzungusha tu, mimi nimewahi hadi kuitwa 'Msenge' na muhudumu wao wa customer care whatsapp....

acchana nao mkuu, hiyo ela hesabu ni sadaka wapotezee wabaki na wateja wao wa mabandani manzese..
 
Mimi na mkekabet tu. Wapo vizuri mnoo ukiweka pesa faster tu inaingia na uki win faster hela inawekwa
ulianzaje kutumia premier bet mkuu.?

hao ni matakataka..

tatizo sio pesa kutofika ,kuna kampuni nyingi tu za betting ambazo pesa zinachelewa/zinasumbua kufika, tatizo ni Huduma kwa wateja..

kwanza shukuru mungu wanakuzungusha tu, mimi nimewahi hadi kuitwa 'Msenge' na muhudumu wao wa customer care whatsapp....

acchana nao mkuu, hiyo ela hesabu ni sadaka wapotezee wabaki na wateja wao wa mabandani manzese..

Sent from my 4009X using JamiiForums mobile app
 
ulianzaje kutumia premier bet mkuu.?

hao ni matakataka..

tatizo sio pesa kutofika ,kuna kampuni nyingi tu za betting ambazo pesa zinachelewa/zinasumbua kufika, tatizo ni Huduma kwa wateja..

kwanza shukuru mungu wanakuzungusha tu, mimi nimewahi hadi kuitwa 'Msenge' na muhudumu wao wa customer care whatsapp....

acchana nao mkuu, hiyo ela hesabu ni sadaka wapotezee wabaki na wateja wao wa mabandani manzese..
ni shida sana mkuu, mhindi ni m-babaishaji sana. Ngoja nicheck kampuni nyingine
 
Mkuu mimi natumia betpawa tangu nijisajili hawajawahi kuniletea miyeyusho coz kampuni yao haina tatizo una deposit bila shida yoyote hao wengine ni matapeli
 
Mkuu mimi natumia betpawa tangu nijisajili hawajawahi kuniletea miyeyusho coz kampuni yao haina tatizo una deposit bila shida yoyote hao wengine ni matapeli
betpawa ndio ipoje
 
Back
Top Bottom