Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Eti mitandao yote Leo imeandika kwa pamoja na maneno yale yale kuwa kocha mpya amevutiwa na uwezo wa Kibu na atambadilisha, huo ni uongo mtupu na ni mchongo tu wa kutaka mchezaji huyo ambaye ana mtu ndani ya Simba anampigia chapuo ndio analazimisha abaki
Ukweli Kibu hamfikii hata kidogo Dickson Ambundo, Kibu sio wa kuchezea Simba, kwanza ni mzito, hatumii akili, hajiamini, hana control, huyo mbrazil sio mjinga kiasi mnataka kumgombanisha na mashabiki
Kibu hana tofauti na Karim Mandonga, angekuwa kwenye boxing angefanya vizuri sana, simsemi vby ila kuendelea kumpaisha kimchongo ni upuuzi tu.
Ukweli Kibu hamfikii hata kidogo Dickson Ambundo, Kibu sio wa kuchezea Simba, kwanza ni mzito, hatumii akili, hajiamini, hana control, huyo mbrazil sio mjinga kiasi mnataka kumgombanisha na mashabiki
Kibu hana tofauti na Karim Mandonga, angekuwa kwenye boxing angefanya vizuri sana, simsemi vby ila kuendelea kumpaisha kimchongo ni upuuzi tu.