Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Nilishangaa Kibu anabaki halafu Kagere anaondoka..amefurahishwa nae kwa lipi maana ile mechi yetu ya Ndoige juzi hamna alichofanya.Eti mitandao yote Leo imeandika kwa pamoja na maneno yale yale kuwa kocha mpya amevutiwa na uwezo wa Kibu na atambadilisha, huo ni uongo mtupu na ni mchongo tu wa kutaka mchezaji huyo ambaye ana mtu ndani ya Simba anampigia chapuo ndio analazimisha abaki
Ukweli Kibu hamfikii hata kidogo Dickson Ambundo, Kibu sio wa kuchezea Simba, kwanza ni mzito, hatumii akili, hajiamini, hana control, huyo mbrazil sio mjinga kiasi mnataka kumgombanisha na mashabiki
Kibu hana tofauti na Karim Mandonga, angekuwa kwenye boxing angefanya vizuri sana, simsemi vby ila kuendelea kumpaisha kimchongo ni upuuzi tu.
Mimi sikushangaa kwa sababu nina uelewa wa kutosha. Ninajua idadi inayoruhusiwa ya wachezaji wazawa ni kubwa kuliko wageni. Nilitegemea utalinganisha mzawa kwa mzawa, mgeni kwa mgeniNilishangaa Kibu anabaki halafu Kagere anaondoka..amefurahishwa nae kwa lipi maana ile mechi yetu ya Ndoige juzi hamna alichofanya.
AhsanteMimi sikushangaa kwa sababu nina uelewa wa kutosha. Ninajua idadi inayoruhusiwa ya wachezaji wazawa ni kubwa kuliko wageni. Nilitegemea utalinganisha mzawa kwa mzawa, mgeni kwa mgeni
Kibu si mchezaji mbaya kwa kiasi hicho unachotumia nguvu kuwaaminisha wenye macho. Hao makocha wa Taifa Stars kwa nyakati tofauti tofauti walizokuwa wakimuita Kibu, nao walirubuniwa?Eti mitandao yote Leo imeandika kwa pamoja na maneno yale yale kuwa kocha mpya amevutiwa na uwezo wa Kibu na atambadilisha, huo ni uongo mtupu na ni mchongo tu wa kutaka mchezaji huyo ambaye ana mtu ndani ya Simba anampigia chapuo ndio analazimisha abaki
Ukweli Kibu hamfikii hata kidogo Dickson Ambundo, Kibu sio wa kuchezea Simba, kwanza ni mzito, hatumii akili, hajiamini, hana control, huyo mbrazil sio mjinga kiasi mnataka kumgombanisha na mashabiki
Kibu hana tofauti na Karim Mandonga, angekuwa kwenye boxing angefanya vizuri sana, simsemi vby ila kuendelea kumpaisha kimchongo ni upuuzi tu.
Anyang'anywe uraia wa Tanzania atacheza kama foreign professional player atajiamini.Kibu ni mchezaji mwenye potential sana, kuna jambo sehemu limevurugika, sijui ni la kiroho au kisaikolojia lililofunga uwezo wake.
Huo ni mtazamo wangu wa haraka haraka.
Uraia anapewa mtu yeyote anayeomba na kukidhi vigezo, si lazima awe mchezaji. Hata wewe pamoja na kwamba hauna fani yoyote, unaweza ukaomba uraia wa Burundi na ukapewaAnyang'anywe uraia wa Tanzania atacheza kama foreign professional player atajiamini.
Bila hivyo baba mmh.
Huyu Waziri na Ofisa aliyemshauri apewe Uraia wa Tanzania kwa kuupiga mwingi hivyo ataisaidia nchi yetu nao inafaa wasipimwe mkojo tu bali mpaka mavi maana inawezekana kuna mirija au mishipa imeingiliana baina ya chemba ya nnya na ubongo hivyo wakati wa maamuzi huenda viliingiliana.