STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,076
- 17,247
Eti na wewe unajiita Mwanaume, Mwanaume
kumnunulia Zawadi Girlfriend wako ni mpaka uone
Valentine's Day imekaribia,ndio unajishaua na
Shopping ili kusafisha nyota..Nani aliyekwambia Usela
unalipa kwenye Mapenzi??Unahisi ukimnunulia Zawadi na kumuonyesha unampenda utaonekana
Bwege, Kuna kosa gani kuwa bwege kwa mtu
unayempenda??Hata wanafiki wakisema umeshikwa
waambie NDIO NIMESHIKWA NIMESHIKAMANA!
Make your Woman Smile...Wala huna haja ya kutumia
fedha nyingi kwenye Shopping za Mariedo..Ukionakitu kizuri Karume NUNUA Mpelekee..Ukiona Gauni zuri
Posta NUNUA mpelekee..Hamnakitu kizuri Wadawa
wanapenda kama ZAWADI,hata kama umenunua
JERO mtumbani,ile Feeling kwamba Ulipokiona
ULIMKUMBUKA YEYE inampa impression kwamba She
is On ur Mind na hilo ndo wadada wanataka....Surprise her pale asipotarajia...Mpigie Simu aje,akifika una
Parcel ya Saa nzuri..Utapendwa hadi ushangae...Hawa
watu wanaitwa ma-PLAYER hakuna Miujiza yoyote
wanayofanya kumuiba demu wako zaidi ya
hii,Wanajua Wanawake wanapenda nini na
wanawapa hicho.Wewe jifanye Msela halafu Ma- PLAYER wakufundishe Caring ni nini.USione Couple
zinadumu ukajua jamaa anatumia heeelaaaa,walaa
a..Mijisapraiz tu,demu anajiona Malkia masaa 24.
Sio kila Limbwata imetengenezwa na Mganga wa
Kienyeji,Ukitumia Akili tu sometimes ni Limbwata
tosha.
-Kwa Hisani ya Wanaume wote Tulio Dimbwini
kumnunulia Zawadi Girlfriend wako ni mpaka uone
Valentine's Day imekaribia,ndio unajishaua na
Shopping ili kusafisha nyota..Nani aliyekwambia Usela
unalipa kwenye Mapenzi??Unahisi ukimnunulia Zawadi na kumuonyesha unampenda utaonekana
Bwege, Kuna kosa gani kuwa bwege kwa mtu
unayempenda??Hata wanafiki wakisema umeshikwa
waambie NDIO NIMESHIKWA NIMESHIKAMANA!
Make your Woman Smile...Wala huna haja ya kutumia
fedha nyingi kwenye Shopping za Mariedo..Ukionakitu kizuri Karume NUNUA Mpelekee..Ukiona Gauni zuri
Posta NUNUA mpelekee..Hamnakitu kizuri Wadawa
wanapenda kama ZAWADI,hata kama umenunua
JERO mtumbani,ile Feeling kwamba Ulipokiona
ULIMKUMBUKA YEYE inampa impression kwamba She
is On ur Mind na hilo ndo wadada wanataka....Surprise her pale asipotarajia...Mpigie Simu aje,akifika una
Parcel ya Saa nzuri..Utapendwa hadi ushangae...Hawa
watu wanaitwa ma-PLAYER hakuna Miujiza yoyote
wanayofanya kumuiba demu wako zaidi ya
hii,Wanajua Wanawake wanapenda nini na
wanawapa hicho.Wewe jifanye Msela halafu Ma- PLAYER wakufundishe Caring ni nini.USione Couple
zinadumu ukajua jamaa anatumia heeelaaaa,walaa
a..Mijisapraiz tu,demu anajiona Malkia masaa 24.
Sio kila Limbwata imetengenezwa na Mganga wa
Kienyeji,Ukitumia Akili tu sometimes ni Limbwata
tosha.
-Kwa Hisani ya Wanaume wote Tulio Dimbwini