Kwa mlioko mkoani Kagera au mlio na wapendwa wenu mkoani humo mna taarifa gani mpaka sasa kuhusu ugonjwa huu, maana kumekua kimya kiasi juu ya hili?
Muda si mrefu nimeona waziri mwenyewe dhamana Ummy Mwalimu anasema mpaka sasa ni watu nane tu ndio waliopata ugonjwa huo na kati yao watano ndio wamefariki na leo wamemruhusu mgonjwa mmoja mwenye umri wa miaka 26. Je, anachokizungumza waziri ndiyo hali halisi?
Kwamba haitakiwi hata kuzungumziwa😀
Duh! Kazi ipo
Acha taarifa za kuzua taharukiKwa mlioko mkoani Kagera au mlio na wapendwa wenu mkoani humo mna taarifa gani mpaka sasa kuhusu ugonjwa huu, maana kumekua kimya kiasi juu ya hili?
Muda si mrefu nimeona waziri mwenyewe dhamana Ummy Mwalimu anasema mpaka sasa ni watu nane tu ndio waliopata ugonjwa huo na kati yao watano ndio wamefariki na leo wamemruhusu mgonjwa mmoja mwenye umri wa miaka 26. Je, anachokizungumza waziri ndiyo hali halisi?
We fala nini!?..Waziri kasema we hutaki!!..una vyombo vyako vya uchunguzi!?Kwa mlioko mkoani Kagera au mlio na wapendwa wenu mkoani humo mna taarifa gani mpaka sasa kuhusu ugonjwa huu, maana kumekua kimya kiasi juu ya hili?
Muda si mrefu nimeona waziri mwenyewe dhamana Ummy Mwalimu anasema mpaka sasa ni watu nane tu ndio waliopata ugonjwa huo na kati yao watano ndio wamefariki na leo wamemruhusu mgonjwa mmoja mwenye umri wa miaka 26. Je, anachokizungumza waziri ndiyo hali halisi?
Una maabara umepima ukaona ni Ebola!?Huyu mama alipoingia aliamua kuiita covid kama covid hakutaka habari za mafua makali.
Imefika zamu yake limeibuka la kuibuka badala yakutuambia ni ebola ugonjwa tuliokuwa tunausikia toka wadogo, wanatuambia marburg na taarifa zinafichwa.
Ye si alitaka uwazi wa covid, kwa nini hataki uwazi wa ebola??
Ha ha haaaaa🤣😂Wana kajina wanaita taharuki, bora ukamatwe na bange.
Lakini Ebola ni Ebola na Marburg ni Marburg. Hapo sidhani kama kuna tatizoHuyu mama alipoingia aliamua kuiita covid kama covid hakutaka habari za mafua makali.
Imefika zamu yake limeibuka la kuibuka badala yakutuambia ni ebola ugonjwa tuliokuwa tunausikia toka wadogo, wanatuambia marburg na taarifa zinafichwa.
Ye si alitaka uwazi wa covid, kwa nini hataki uwazi wa ebola??