Mnaofuatilia katuni ya Simpsons, kumbe Trump kapigwa knockout kitambo!

Mnaofuatilia katuni ya Simpsons, kumbe Trump kapigwa knockout kitambo!

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Kipindi ninekuwa najaribu kufuatilia hiki kikatuni cha Simpsons huwa kinalenga mambo gani.

IMG_20241101_164945.jpg


Juzi kati hapo nikakutana na scene mpeperusha bendera wa Biden akiwa white house akitoa hotuba na kujibu maswali mbalimbali.

IMG_20241101_165018.jpg

Kama unafuatilia hako kakatuni kwenye the Simpsons "Bart to the Future" season ya 11 na episode ya 17, forward hadi dakika 10:22secs utapata jibu.

Mara kadhaa hawa jamaa wa hii katuni wamekuwa wakitoa kama unabii kupitia hiko kitu na kwa asilimia 89.9 huwa inakuwa kweli.

Haya yetu subra tu na kusubiri wamarekani wachague lkn bunge la mabwanyenye waweke mtu wao.
 
Kifo tu ndio kina uhakika wakukupa 💯 hizo nyengine kamari tuuu rahisi yeyote wamarekani ni mshenzi na muuaji dt walau kastaarabika kwenye kuuchukia ufirwanaji
 
Kamala mbona yuko poa kimsingi marekani walingoja waone mfano kwa Tanzania (baba lao) kama mwanamama anaweza kuongoza vile wameona nchi inapaa wakasema wao washindwe Wana Nini!?
Next ni china na Russia watafata njia
Nimesoma comment nikajisemea lazima atakuwa mtu maarufu humu kwa kugaragara kwa furaha kumbe sie
 
Donald trump alizomewa na mashabiki wake Jana akiwa stejini mpaka akaralua na kuvunjavunja maiki mbele ya hadhara kwa hasira..,matamshi yake ya kuwakosea heshima wanawake kwenye sera zake kwenye abortion yanamgharim
 
Donald trump alizomewa na mashabiki wake Jana akiwa stejini mpaka akaralua na kuvunjavunja maiki mbele ya hadhara kwa hasira..,matamshi yake ya kuwakosea heshima wanawake kwenye sera zake kwenye abortion yanamgharim
Dakika za mwisho ndizo huwa zinatia point kwa mshindani wako, so Trump anampa point Kamara dakika za lala salama.
 
Mkuu Racism iko hai,hivi kweli Rishi Sunak one on one na Keir Starmar Waingereza European Stock wangemchagua nani?!
Kwa kweli mambo siku hizi yamebadilika ingawa bado yapo
Leo kiongozi wa Conservative ni mnaijeria kweli tunaenda kasi sana
Miaka ya nyuma kazi zetu unazijua ila sasa tofauti
Nani aliota siku moja mwenye asili ya India atakuwa PM?
Ubaguzi upo sana hata huku ni kama nyumbani tu
Unakumbuka ya Diana na hata Harry poor guy
Tena kuna fununu wanataka waachane
Media ikisema huku ina sauti sana na wanafuta media zaidi
 
Back
Top Bottom